Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Mgombea ubunge jimbo la Iramba Magharibi ambaye pia ni Waziri wa katiba na sheria Dr Mwigulu Nchemba adaiwa kuteka, kupiga na kuumiza wananchi wanaomuuliza maswali asiyoyapenda jimboni kwake.
Hapa ni video ya mwananchi aliyepigwa na watu anaosema kwamba walikua na Mwigulu kwenye gari alipoingizwa ndani akatoa maagizo apigwe.
Tabia ya kutumia ubabe ya Dr Mwigulu Nchemba imekua ikilalamikiwa sana na mgombea wa ubunge katika jimbo hilo kupitia CHADEMA ndugu Jesca Kishoa. Inadaiwa kua Mwigulu amekua aliwatishia wanachama wa upinzani pamoja na wananchi wengine akidai kwamba anawasamehe kwakua kuna msongamano wa mahabusu magerezani kua yeye anatembea na mafaili yao.
Ni wajibu wa NEC kukemea vitendo hivi vya kikatili ikiwa ni pamoja na RPC mkoa wa Singida kufuatilia hii hali.
Hapa ni video ya mwananchi aliyepigwa na watu anaosema kwamba walikua na Mwigulu kwenye gari alipoingizwa ndani akatoa maagizo apigwe.
Tabia ya kutumia ubabe ya Dr Mwigulu Nchemba imekua ikilalamikiwa sana na mgombea wa ubunge katika jimbo hilo kupitia CHADEMA ndugu Jesca Kishoa. Inadaiwa kua Mwigulu amekua aliwatishia wanachama wa upinzani pamoja na wananchi wengine akidai kwamba anawasamehe kwakua kuna msongamano wa mahabusu magerezani kua yeye anatembea na mafaili yao.
Ni wajibu wa NEC kukemea vitendo hivi vya kikatili ikiwa ni pamoja na RPC mkoa wa Singida kufuatilia hii hali.