Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
- Thread starter
- #41
Kuna watu uwezo wao tunaujua vizuri. Hapa Mama atakwama sana, huyu jamaa angebaki kua mbunge wa kawaida tu.Hili lofa limedhihirisha kuwa halifai kazi hii liondoshwe tu. Utabiri umetimia.