Uchaguzi 2020 Dkt. Mwigulu akalia kuti kavu Jimboni, kuna kila dalili hatorudi, Jesca Kishoa amkalia kooni

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,323
217,344
Hii ndio taarifa mpya inayovuma huko Iramba , kwamba Uwezekano wa Mwigulu Nchemba kurudi bungeni kwa njia ya kura ni kama haupo , Jessica Kishoa kishamkalia kooni , tangu njama za kumuengua Jessica kwa kutumia tume ya uchaguzi zilipobuma upepo ukageuka jumla , ama kwa hakika hakuna marefu yasiyokuwa na Ncha !

Picha hii hapa chini ya mkutano wa kata ya Ndago ni sehemu ndogo tu ya hali ilivyo hadi sasa

Leo mkutano kata ya Ndago. ASANTENI wana Iramba.  Nawapenda sana _v__v__v__v__v_ ( 640 X 640 ).jpg
 
Hata kwa Magu mlisema hivyo hivyo, sasa hi I mnapelekwa mchakamcham...
 
Hii ndio taarifa mpya inayovuma huko Iramba , kwamba Uwezekano wa Mwigulu Nchemba kurudi bungeni kwa njia ya kura ni kama haupo , Jessica Kishoa kishamkalia kooni , tangu njama za kumuengua Jessica kwa kutumia tume ya uchaguzi zilipobuma upepo ukageuka jumla , ama kwa hakika hakuna marefu yasiyokuwa na Ncha !

Picha hii hapa chini ya mkutano wa kata ya Ndago ni sehemu ndogo tu ya hali ilivyo hadi sasa

View attachment 1589501
Utajiri wa nchi, fedha za nchi ni mali ya wananchi. Chama kilichopo madarakani kinatakiwa kusimamia utajiri, kuuendeleza na kusimamia matumizi ya fedha za wananchi na sio kuzifuja au kujinadi kama za kwao.
 
Hii ndio taarifa mpya inayovuma huko Iramba , kwamba Uwezekano wa Mwigulu Nchemba kurudi bungeni kwa njia ya kura ni kama haupo , Jessica Kishoa kishamkalia kooni , tangu njama za kumuengua Jessica kwa kutumia tume ya uchaguzi zilipobuma upepo ukageuka jumla , ama kwa hakika hakuna marefu yasiyokuwa na Ncha !

Picha hii hapa chini ya mkutano wa kata ya Ndago ni sehemu ndogo tu ya hali ilivyo hadi sasa

View attachment 1589501
Alijua atakuwa mbunge wa viti maalum
 
Back
Top Bottom