Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,673
- 26,990
Ngoja apite,tuendelee na mchakamchaka😂.Magu anapiga magoti sisi bado tunasimama , nani anayepelekwa mchakamchaka ?
Ngoja apite,tuendelee na mchakamchaka😂.Magu anapiga magoti sisi bado tunasimama , nani anayepelekwa mchakamchaka ?
Kila la kheri jesca, upate ubunge uwe na hela ukamtunze tumbili wako huko
😆😆😆😆😆Magu anapiga magoti sisi bado tunasimama , nani anayepelekwa mchakamchaka ?
KWA HALI ILVYO SINGIDA KWA SASA TEMEA MATE CHINI, usiongozwe na ukada kuongea, anapumulia mashine mwenzio hukoMwigulu hata asipofanya kampeni atashinda kwa kishindo
kwa jinsi unavyojibu hoja za watu, unajibu kama cyprian Musiba. Inawezekana wewe ni Musiba. Maana akili zenu zinafanana.Mwigulu hata asipofanya kampeni atashinda kwa kishindo
Kwa msaada wa tume Ccm ile inayozuiya watu kufanya kampeni kisa mgombea wao yupo GEREJI Kwa waganga huko UNGUJAMwigulu hata asipofanya kampeni atashinda kwa kishindo
Du 🤣 🤣 🤣 🤣Kila la kheri jesca, upate ubunge uwe na hela ukamtunze tumbili wako huko
Shemeji alikunyang'anya simu,umebahatika kumuibia mtuMwigulu hata asipofanya kampeni atashinda kwa kishindo
Hapo bado Lisu hajafika kumuunga mdada Jeska Mwigulu hana chake hapoMwigulu bila uchakachuaji bila wizi wa kura hana chake hapo