Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,003
Mkurugenzi wa Magonjwa ya kitropiki kutoka WHO , Dr Mwele Malecela amesema wataalamu wa sekta mbalimbali wafanye kazi kwa kuzingatia weledi bila woga.
Dr Mwele kwa sasa anafanya kazi Makao Makuu ya WHO Geneva Uswisi , amesema wataalamu waachwe wafanye kazi kwa weledi ili kupata matokeo chanya dhidi ya ugonjwa wa corona.
Amempongeza Rais Samia kwa hatua anazochukua katika kudhibiti ugonjwa wa Corona.
Chanzo : Mwananchi .
Pia soma;
Thread 'Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela' Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela
Thread 'Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika' Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika
Dr Mwele kwa sasa anafanya kazi Makao Makuu ya WHO Geneva Uswisi , amesema wataalamu waachwe wafanye kazi kwa weledi ili kupata matokeo chanya dhidi ya ugonjwa wa corona.
Amempongeza Rais Samia kwa hatua anazochukua katika kudhibiti ugonjwa wa Corona.
Chanzo : Mwananchi .
Pia soma;
Thread 'Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela' Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela
Thread 'Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika' Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika