Aliyetoa taarifa za matokeo ya vipimo vya mapapai amesababisha taharuki kubwa kwenye jamii.Habari wakuu
Kuna watu mimi binafsi nawashangaa, wengine ni madaktari kabisa wabobezi wanahaonesha ujuzi wao hadharani ulivyo wa hovyo kwenye hili jambo.
Hivi nikiandaa mtambo kuwa ni kwa ajiri ya kusense vyuma, kitu chochote chenye asili ya chuma (sumaku) harafu nikiweka ndoo ya plastiki kinanatisha kuwa ni chuma, nikiweka hadi mti mkavu unanasa kuwa ni sumaku, hapo tatizo inakuwa nini
-kifaa ni kibovu ?
-mimi nimeoweka plastic kikanasa kwenye kifaa kuwa ni asili ya chuma ndio mjinga ?
-Au tatizo ni nin,? Mtu anayepima ,ifike hatua tujitambue
-nichukue kifaa cha kupima UKIMWI niweke sample ya mbuzi kifaa kisome postive? Tatizo nin nini hapo kama sio kifaa
Au niweke sample ya maji ya papai kwenye kile kifaa cha kupima UKIMWI then ile mistari miwili ijichore that its postive HIV, Tatizo inakuwa kifaa direct kwani kimetengenezwa kwa ajiri ya kupima HIV, so hata ukiweka sample za mbuzi, papai zikasoma postive means hivo vitu tayar vina huo ugonjwa hakiwezi kusoma postive kama hakuna lazima tu, unless hicho kifaa kiwe kibovu ,swali la kujiuliza ni kwanin hivo vitu viwe na virus.
- Hivyo basi, kama kweli vifaa vinaonyesha kuwa papai, mbuzi ni postive corona, basi huu ugonjwa ni wa kusadikika, media zimepaisha tu kuonesha janga, na lazima kuna kundi la watu nyuma wanafaidi na huu mchezo.
-kama vifaa vinaonesha kuna postive corona, basi vipigwe kiberiti haraka sana ba na hatua zichukuliwe kwa wahusika wote waliofanya huo mchezo
-kama ni mchezo wa kisiasa kuwapumbaza watanzania kuhusu ugonjwa wa corona basi, serikali inajiweka hatarini kwa waadhirika ni wananchi, na itawagharimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha fikra za kilayman. Hii ni Sayansi. Jikite kwenye hoja halisi, jinsi vifaa vya sayansi ya tiba vinavyofanya kazi. Achana na mifano isiyoishi.Habari wakuu
Kuna watu mimi binafsi nawashangaa, wengine ni madaktari kabisa wabobezi wanahaonesha ujuzi wao hadharani ulivyo wa hovyo kwenye hili jambo.
Hivi nikiandaa mtambo kuwa ni kwa ajiri ya kusense vyuma, kitu chochote chenye asili ya chuma (sumaku) harafu nikiweka ndoo ya plastiki kinanatisha kuwa ni chuma, nikiweka hadi mti mkavu unanasa kuwa ni sumaku, hapo tatizo inakuwa nini
-kifaa ni kibovu ?
-mimi nimeoweka plastic kikanasa kwenye kifaa kuwa ni asili ya chuma ndio mjinga ?
-Au tatizo ni nin,? Mtu anayepima ,ifike hatua tujitambue
-nichukue kifaa cha kupima UKIMWI niweke sample ya mbuzi kifaa kisome postive? Tatizo nin nini hapo kama sio kifaa
Au niweke sample ya maji ya papai kwenye kile kifaa cha kupima UKIMWI then ile mistari miwili ijichore that its postive HIV, Tatizo inakuwa kifaa direct kwani kimetengenezwa kwa ajiri ya kupima HIV, so hata ukiweka sample za mbuzi, papai zikasoma postive means hivo vitu tayar vina huo ugonjwa hakiwezi kusoma postive kama hakuna lazima tu, unless hicho kifaa kiwe kibovu ,swali la kujiuliza ni kwanin hivo vitu viwe na virus.
- Hivyo basi, kama kweli vifaa vinaonyesha kuwa papai, mbuzi ni postive corona, basi huu ugonjwa ni wa kusadikika, media zimepaisha tu kuonesha janga, na lazima kuna kundi la watu nyuma wanafaidi na huu mchezo.
-kama vifaa vinaonesha kuna postive corona, basi vipigwe kiberiti haraka sana ba na hatua zichukuliwe kwa wahusika wote waliofanya huo mchezo
-kama ni mchezo wa kisiasa kuwapumbaza watanzania kuhusu ugonjwa wa corona basi, serikali inajiweka hatarini kwa waadhirika ni wananchi, na itawagharimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni mawazo yakoKwa nini unaamini anachosema rais ni sahihi kuwa alipeleka sample ya mapapai?
Vipi kama alipeleka sample za watu na sio anavyosema ili kutimiza malengo yake aliyokusudia?
Kwa nini asichukue sample za hayo mafenesi kiuwazi halafu yapimwe kiuwazi ili tumuamini?
Umesoma hiiHabari wakuu
Kuna watu mimi binafsi nawashangaa, wengine ni madaktari kabisa wabobezi wanahaonesha ujuzi wao hadharani ulivyo wa hovyo kwenye hili jambo.
Hivi nikiandaa mtambo kuwa ni kwa ajiri ya kusense vyuma, kitu chochote chenye asili ya chuma (sumaku) harafu nikiweka ndoo ya plastiki kinanatisha kuwa ni chuma, nikiweka hadi mti mkavu unanasa kuwa ni sumaku, hapo tatizo inakuwa nini
-kifaa ni kibovu ?
-mimi nimeoweka plastic kikanasa kwenye kifaa kuwa ni asili ya chuma ndio mjinga ?
-Au tatizo ni nin,? Mtu anayepima ,ifike hatua tujitambue
-nichukue kifaa cha kupima UKIMWI niweke sample ya mbuzi kifaa kisome postive? Tatizo nin nini hapo kama sio kifaa
Au niweke sample ya maji ya papai kwenye kile kifaa cha kupima UKIMWI then ile mistari miwili ijichore that its postive HIV, Tatizo inakuwa kifaa direct kwani kimetengenezwa kwa ajiri ya kupima HIV, so hata ukiweka sample za mbuzi, papai zikasoma postive means hivo vitu tayar vina huo ugonjwa hakiwezi kusoma postive kama hakuna lazima tu, unless hicho kifaa kiwe kibovu ,swali la kujiuliza ni kwanin hivo vitu viwe na virus.
- Hivyo basi, kama kweli vifaa vinaonyesha kuwa papai, mbuzi ni postive corona, basi huu ugonjwa ni wa kusadikika, media zimepaisha tu kuonesha janga, na lazima kuna kundi la watu nyuma wanafaidi na huu mchezo.
-kama vifaa vinaonesha kuna postive corona, basi vipigwe kiberiti haraka sana ba na hatua zichukuliwe kwa wahusika wote waliofanya huo mchezo
-kama ni mchezo wa kisiasa kuwapumbaza watanzania kuhusu ugonjwa wa corona basi, serikali inajiweka hatarini kwa waadhirika ni wananchi, na itawagharimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew unajua nin, kama kifaa kinasense corona virus, ukiweka papaiHujui Chochote kuhusu PCR
Au polymerase chain reaction
hujui chochote kuhusu SnPs wala Indels
Bora ukae kimya tu itakusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Praise team tunajua jiwe huwaza kwa niaba yenuHayo ni mawazo yako
Umeishiwa hoja.Praise team tunajua jiwe huwaza kwa niaba yenu
Aisee kumbeeee..Kipimo ulichokicalibrate kwa ajili ya COVID kitapima COVID ukiingiza sampuli ambazo siyo umeivuruga! Majibu yatakuwa hayana mantiki!
Dr Mwele at twitter
calibrate
/ˈkalɪbreɪt/
verb
mark (a gauge or instrument) with a standard scale of readings or correlate the readings of (an instrument) with those of a standard in order to check the instrument's accuracy. Asante Rolimodo @mwelentuliView attachment 1439721
Misho wa hii game ni kuona vichwa vinaviringika. I'm telling you: heads will roll!Ngoja tuone mwisho wa hii gemu.
"tofauti ya Doctor na Daktari wa kunanii"Kipimo ulichokicalibrate kwa ajili ya COVID kitapima COVID ukiingiza sampuli ambazo siyo umeivuruga! Majibu yatakuwa hayana mantiki!
Dr Mwele at twitter
calibrate
/ˈkalɪbreɪt/
verb
mark (a gauge or instrument) with a standard scale of readings or correlate the readings of (an instrument) with those of a standard in order to check the instrument's accuracy. Asante Rolimodo @mwelentuliView attachment 1439721
"tofauti ya Doctor na Daktari wa kunanii"
kwahiyo upo upande wa kupima mapapai na kutpa positive results?Hapa Mwele alichemka, maana ya recalibrate ni kuiwezesha mashine kutoa true positive results na si vinginevyo
kwahiyo upo upande wa kupima mapapai na kutpa positive results?
Upo kwenye upande wa mashine ya MRI kuwekewa jiwe na isionyeshe chochote?
Kweli wafia vyama, hasa nyie MATAGA mmefa medula oblongata, walah
unayejua elimisha wasiojua, maana na wewe una phd ya pant, unafikiri unajua kumbe hujui.Bora unyamaze, hujui kitu hapa, utalaam na siasa ni Vitu viwili tofauti. Kachukue form ugombee
Kama haiwezekani mapapai kuwa postive, iligundulika vp kuwa virus wanaweza kubaki kwenye surface za vitu kama vitasa vya magari, batani za elevetor nkkwahiyo upo upande wa kupima mapapai na kutpa positive results?
Upo kwenye upande wa mashine ya MRI kuwekewa jiwe na isionyeshe chochote?
Kweli wafia vyama, hasa nyie MATAGA mmefa medula oblongata, walah