Dkt. Mwakyembe Kuongoza Uchunguzi Malalamiko ya Mtihani wa Law School

Yupo mwanafunzi aliefaulu...😀😀
Ni ajabu na kweli, sijui atachunguza nini huyu, maana wakifaulu tu huwa wanatuona sisi tuliofeli kuwa tumefeli kwa kuwa wajinga na sio kuwa tumeonewa.
 
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amemteuwa Dk Harison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati ya watu saba ili kutafuta chanzo cha kufeli kwa wingi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST).

Kuundwa kwa tume hiyo kumekuja baada ya kelele za wananchi kufuatia hoja iliyoibuliwa na gazeti la mwananchi kuhusu kiwango cha idadi ya waliofeli mtihani wa mwisho kwa elimu ya vitendo katika taasisi hiyo.

Waziri amesema kamati hiyo itakabidhiwa hadidu rejea na Kàtibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mary Makondo kesho Oktoba 13, 2022 na itafanya kazi kwa siku 30. "Baada ya hapo, Mwenyekiti wake atakuja hadharani kutoa taarifa kwa waandishi kuhusu walichobaini lakini muamini kamati ina watu wenye weledi mkubwa sana," amesema Dk Ndumbaro.


----
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amemteuwa Dk Harison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati ya watu saba ili kutafuta chanzo cha kufeli kwa wingi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST).

Wajumbe wengine katika kamati hiyo ni Jaji Mstaafu Cililius Matupa aliyewahi kuwa mshauri wa rais Dk Jakaya Kikwete, Rashid Asaa ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma wa Zanzibar.

Wengine ni Gloria Kalabamu, Makamu wa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Alice Mtulo, Wakili mwandamizi kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mary Mniwasa, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Dar Stock Exchange na John Kaombwe ambaye ni Mwanafunzi aliyehitimu LST.

Hayo yamebainishwa leo Jumatano Oktoba 12, 2022 na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la kufeli katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST).

Kuundwa kwa tume hiyo kumekuja baada ya kelele za wananchi kufuatia hoja iliyoibuliwa na gazeti la mwananchi kuhusu kiwango cha idadi ya waliofeli mtihani wa mwisho kwa elimu ya vitendo katika taasisi hiyo.

Waziri amesema kamati hiyo itakabidhiwa hadidu rejea na Kàtibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mary Makondo kesho Oktoba 13, 2022 na itafanya kazi kwa siku 30.

"Baada ya hapo, Mwenyekiti wake atakuja hadharani kutoa taarifa kwa waandishi kuhusu walichobaini lakini muamini kamati ina watu wenye weledi mkubwa sana," amesema Dk Ndumbaro.

Hata hivyo amesema takwimu za miaka ya nyuma zinaonyesha shule hiyo imekuwa ikifaulisha kwa kiwango cha wastani wa asilimia 81.

Chanzo: Mwananchi
Atakuja na report kama ya Richmond na
kuna watu watajizuru kama Edward Lowassa!
 
Mwakyembe haaminiki , hata matokeo ya uchunguzi wa kamati yake hayataaminika na jamii .

Kwa mfano , alipokuwa Mbunge wa Kyela aliwahi kuwaaminisha wananchi wa Jimbo hilo kwamba ATAWATAFUTIA SOKO LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI , lakini hadi anapigwa chini hakuwahi kutimiza ahadi hiyo
Kwa akili na weledi wako unafikiri nani anafaa?
 
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amemteuwa Dk Harison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati ya watu saba ili kutafuta chanzo cha kufeli kwa wingi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST).

Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amemteuwa Dk Harison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati ya watu saba ili kutafuta chanzo cha kufeli kwa wingi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST).

Wajumbe wengine katika kamati hiyo ni Jaji Mstaafu Cililius Matupa aliyewahi kuwa mshauri wa rais Dk Jakaya Kikwete, Rashid Asaa ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma wa Zanzibar.

Wengine ni Gloria Kalabamu, Makamu wa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Alice Mtulo, Wakili mwandamizi kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mary Mniwasa, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Dar Stock Exchange na John Kaombwe ambaye ni Mwanafunzi aliyehitimu LST.

Hayo yamebainishwa leo Jumatano Oktoba 12, 2022 na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la kufeli katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST).

Kuundwa kwa tume hiyo kumekuja baada ya kelele za wananchi kufuatia hoja iliyoibuliwa na gazeti la mwananchi kuhusu kiwango cha idadi ya waliofeli mtihani wa mwisho kwa elimu ya vitendo katika taasisi hiyo.

Waziri amesema kamati hiyo itakabidhiwa hadidu rejea na Kàtibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mary Makondo kesho Oktoba 13, 2022 na itafanya kazi kwa siku 30.
"Baada ya hapo, Mwenyekiti wake atakuja hadharani kutoa taarifa kwa waandishi kuhusu walichobaini lakini muamini kamati ina watu wenye weledi mkubwa sana," amesema Dk Ndumbaro.

Hata hivyo amesema takwimu za miaka ya nyuma zinaonyesha shule hiyo imekuwa ikifaulisha kwa kiwango cha wastani wa asilimia 81.

Chanzo: Mwananchi
 

Hizi kamati kamati ni za kula kodi za Wananchi tu, hakuna sababu ya kuunda kamati. Ni kupoteza muda na pesa.
 
Mkuu DenooJ, Mm nimemaliza Lst na nimebahatika Kufanya kazi Hapo Lst, Watt Wa Sasa hawasomi Kabisa.
.
Na tarifa nilizonazo Kati ya hao 26 waliofaulu, 22 ni Wafanyakazi Wa Taasisi za Umma the least ni Wanaotoka vyuoni.
.
So angalia jinsi watt wenu ambavyo hawasomi wako busy na Starehe Tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hongera kwa kuelezea ukweli. Miaka hii vijana hawataki kusoma kabisa.

Katika kipindi cha hii miaka ya karibuni (nimeshastaafu) tulikuwa tukipokea graduates kutoka vyuo mbali mbali pale kazini. Kuna baadhi ya ya vijana mpaka unajiuliza hivi imekuwaje huyu amefaulu hii degree? Shida siyo hiyo tu, yaani anajifanya anajua sana na hata ukimuelekeza basi ni mtihani mtupu.
 
Mkuu DenooJ, Mm nimemaliza Lst na nimebahatika Kufanya kazi Hapo Lst, Watt Wa Sasa hawasomi Kabisa.
.
Na tarifa nilizonazo Kati ya hao 26 waliofaulu, 22 ni Wafanyakazi Wa Taasisi za Umma the least ni Wanaotoka vyuoni.
.
So angalia jinsi watt wenu ambavyo hawasomi wako busy na Starehe Tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nyie ni wasomi wa ajabu sana, sijui unashangilia nini, ushamba tu.

Navyojua, mwalimu hutakiwa kuweka kitu kwenye ubongo wa mwanafunzi, nyie mmeshindwa kufanya hivyo halafu mnapeleka lawama pengine, tena za kijinga, kuwa wanafunzi hawasomi, mko selfish sana.

Unataka kutuambia "wanaosoma" ni hao 26 pekee waliofaulu kati ya 600 waliofanya mitihani? kwako wanafunzi 574 wote walikuwa wanapenda starehe!. stop this nonsense.

Zaidi, hao wafanyakazi wa umma 22 uliowasifia kwa kufaulu ndio umeniacha na maswali mengi zaidi, hicho chuo kina tatizo, wafanyakazi wa umma wanafaulu kwa wingi kwenye taasisi ya umma, hapa hakuna connection?

Ajabu sana, wale wanafunzi walio busy na kazi ndio wanafaulu, halafu wale fresh from school ndio wanafeli wote kasoro wanne!
 
-Vijana wanataka first sitting ziwe 100
-Dr zakayo lukumay alisema tatizo vyuo vile vya degree pia ni tatizo.
 
Back
Top Bottom