johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,725
- 141,585
Makamu wa Rais Dr Mpango ameitaka idara ya uhamiaji kutowasumbua wananchi wanaoishi mipakani kwa madai ya kutokuwa raia bali wafanye kazi kwa weledi na haki
Dr Mpango ametoa agizo hilo mkoani Kigoma aliko ziarani kikaxi.
Source: ITV habari
Dr Mpango ametoa agizo hilo mkoani Kigoma aliko ziarani kikaxi.
Source: ITV habari