Dkt. Mpango: Sitakuwa mpole kwa wanaochezea Muungano

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Akizungumza kwenye Kongamano la Miaka 57 ya Muungano Jijini Dodoma, Dkt. Philip Mpango amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais, hatokubali Muungano kuchezewa

Amesema, "Sitakubali kabisa wanaochezea Muungano wetu adhimu. Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi ni mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
 
Back
Top Bottom