Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,450
Kimsingi anaharibu sn kuliko kutengenezaMheshimiwa tunakuomba usimame kwenye safu yako.
Mwache mh Suluhu afanyekazi aliyotumwa.
Usilete mfumo dume utakao mmeza Rais mama Samia akashindwa kutekeleza yampasayo.
Nimekuona na kuusikiliza wakati wa kuthibitishwa na bunge na baada ya kuapishwa.
Kuna viashiria vya kujiona ndiye Rais kamili.
Tunakufahamu vizuri sana wewe binafsi lakini kama haitoshi waha ni watu wataka kitawala na kuongoza na siyo kuongozwa.
Tabia hii ndiyo inayowapa kina Zitto, kafulila, machali na wengine.
Kwa hayati chukua yaliyomema ambayo watu wamelalakia yaache kabisa