MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Naomba utawala huu uwe makini sana katika maamuzi yanayokwenda kugusa maisha ya Mtanzania kwa sababu Watanzania bado wanamachungu sana na majonzi sasa Serikali iliyopo badala ya kutufariji inatuongezea tabu.
Muwaulize wenzenu walikuwa wanakusanya wapi kodi mnasababisha mfumuko wa bei usio wa lazima kisingizio mnasema miladi huo ni UJINGA huo uchumi gani mliosomea huo ondoeni kodi kwenye mafuta na miamala ya simu.
Muwaulize wenzenu walikuwa wanakusanya wapi kodi mnasababisha mfumuko wa bei usio wa lazima kisingizio mnasema miladi huo ni UJINGA huo uchumi gani mliosomea huo ondoeni kodi kwenye mafuta na miamala ya simu.