Acha kukariri!hujamuelewaWe kweli mwehu Kilimanjaro tupo vizuri tunasomesha tangu enzi za mkoloni tunajenga Madarasa ndio maana Kilimanjaro Ni mkoa wa kwanza tz kuwa na secondary nyingi
ndio maana Hakuna ofisi yoyote tz utamkosa mtu wa Kilimanjaro
Soma hapo chini ripoti ya mikoa na hali za kiuchumi za watu wake uone jinsi Kilimanjaro ilivyo safi
Usirudie kuandika upuuzi wako utaumbukaView attachment 1030712View attachment 1030713
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app