Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Nami ndiyo swali langu kila nikiona Mdada kapost picha IG kivyake vyake na watoto wake.... najiuliza waliachana na Mme wake au?
Write your reply...Hivi yule Monifinance na Jose Mara ndoa ilivunjika nini? Naona kila mtu kivyake.
 
Ndo huyu Kumbe fiderin
Halafu unaambiwa eti ss hivi ndio yupo hivi?!,the world is not fear
tapatalk_1557826999019.jpeg
tapatalk_1557827002052.jpeg
 
Write your reply... eti bifu Kinje na mengi, kumfananisha mengi na kinje ni kama kufananisha simtank na ziwa victoria
Sasa hutaki? Ndo lilikuepo sasa bifu, kwani sasa wanavosema Klyn alikuwa anagongwa na Hussein na hata walinzi wa Mzee we unachukuliaje? Bifu kwenye mapenzi halijalishi tajiri wala maskini, kwa sababu viungo vinafanana, na huyo Klyn wamekula vijana wengi tu hata madereva taxi, sasa hutaki?
 
Miaka uliyoweka hapo juu nakumbuka Bss ya madam ndio ilikuwa inaanza akawa anafanyia Itv inamaana kipindi hiyo alikuwa bado hajawa na ukaribu na madam?nilijuwa miaka hiyo ndio walikuwa karibu ndio maana akapata shavu la kipindi chake kurushwa pale.

Kuna hii thread ya 2009 inaweza kukupa picha kidogo, ndiyo nimeiona baada ya kusearch.

 
Kuna hii thread ya 2009 inaweza kukupa picha kidogo, ndiyo nimeiona baada ya kusearch.

Pamoja mkuu nimeipitia miaka uliyoandika ndio alikuwa na ukaribu na huyo Lilian.

Kumbe mzee alianza na madam akabwagasha ndio akaja kwa huyo Lilian baadaye ndipo akaja kwa Jack.Kuna maelezo yalitolewa na mkuu mmoja kwenye huo uzi nimefanya kuyacopy

Pamoja na yote haya kwenda kuoa mtoto wa umri
tena mdogo kuliko watoto wako unategemea
nini??? Ni kama yale ya Mugabe!!!!! Sasa kama
binti aliweka picha face book yake si ushamba
huo??? Hayo ni mambo ya private sana hasa
ukizingatia Mengi ni married and he is still married
to his first wife until wameagree divorce. Kitu
ambacho yule mama hana mpango nacho. Huu ni
ulimbukeni kutaka kupata umaarufu kwa kuwa
ameolewa na tycoon. Sasa yameshauanza moto
na kuuzima hawatauweza. Kibao kimewageukia.
Kitu ninachoomba ni kwamba Mengi aache kwenda
kwenye majukwa ya dini na vimchango vyake. Ni
dharau kwa Mungu. Wachungaji wote Tanzania
wanajua kuwa Mengi hana ndoa iliyosimama na
mke wake wa ndoa?? Je wamemsaidia kiasi gani
kusuluhisa ile ndoa?? Au wanamwogopa maana
wakiuliza watanyimwa pesa??? Hapa kidogo
masuala ya hizi dini na utajiri wa mtu linanipa
shida sana. Mchungaji wa kweli ni lazima
ahakikishe kondoo wake wako salama. Kwa
maisha ha Mengi ya kuwa na vimada na uzinzi
mwingi sana hapa mjini ilitosha kabisa kumfungia
shughuli za kikanisa. Mimi nikimwona akisimama
katika hizi harambee za dini huwa nazima tv, ni
mnafiki hafai.
Huwa namtetea sana Mengi kwenye issues nyingi
za kumpinga ila kwa hili la kuoa na kuacha na
kuanza ku date mabinti wadogo (kuna watu
wanamkuadia mabinti na inajulikana) ni aibu. Sijua
kwa nini hakupata fundisho kwa madame Ritta.
Kama alitofautian na mke wa ndoa basi angetafuta
angalao a descent woman mwenye umri wa
kuheshimika ndipo aishi naye tena ki silencer.
Huyu Lilian pia is not a descent kid!!!!! Ana
wanaume kibao hapa mjini!!!! Wakati anasoma
sheria chuo alikuwa ameshaolewa tayari, na jamaa
mwenye uwezo tu na alikuwa anakuja na usafiri
mzuri tu (self drive) na alikwa amezaa tayari. Je
yule mume wameshatalikiana??? Ukweli ni kwamba
hata mumewe wa awali alishindwa kuishi na huyu
dada maana ni Kicheche cha ngono. Eti Mengi
naye anaona kaoa, pengine labda kwa show off tu.
Wana JF inapokuwa tunasema ukweli kuhusu
jambo tuwe makini kutetea hata lile ambalo ni
kinyume na maadili. Tena wale vipenzi wa Mengi
mliomo humu naomba mtafuteni mpeni
counselling ya maisha. Amefanikiwa sana
kibiashara lakini si kifamilia na kimaisha kwa
ujumla. Mafanikio ya mwanaume ni jinsi gani
ameweza kuwa na familia imara na si kiasi cha
liquid and non-liguid assets. It is too much and
greedy for him.
Askofu Malasusa, Laizer na wengine wanasemaje
kwa hili??? Hivi anathubutu kukaa naye high table
kwenye fund raising za KKKT?? Watu wamefanya
dini biashara.Wachungaji na maaskofu wa zamani
wasingekubali hata Mengi kuwasogelea. Ameudhi
hata wanawe kwani kila siku baba ni kubadilisha
wanawake kama kanga au magauni??? it is too
much fo them.
 
Pamoja mkuu nimeipitia miaka uliyoandika ndio alikuwa na ukaribu na huyo Lilian.

Kumbe mzee alianza na madam akabwagasha ndio akaja kwa huyo Lilian baadaye ndipo akaja kwa Jack.Kuna maelezo yalitolewa na mkuu mmoja kwenye huo uzi nimefanya kuyacopy

Pamoja na yote haya kwenda kuoa mtoto wa umri
tena mdogo kuliko watoto wako unategemea
nini??? Ni kama yale ya Mugabe!!!!! Sasa kama
binti aliweka picha face book yake si ushamba
huo??? Hayo ni mambo ya private sana hasa
ukizingatia Mengi ni married and he is still married
to his first wife until wameagree divorce. Kitu
ambacho yule mama hana mpango nacho. Huu ni
ulimbukeni kutaka kupata umaarufu kwa kuwa
ameolewa na tycoon. Sasa yameshauanza moto
na kuuzima hawatauweza. Kibao kimewageukia.
Kitu ninachoomba ni kwamba Mengi aache kwenda
kwenye majukwa ya dini na vimchango vyake. Ni
dharau kwa Mungu. Wachungaji wote Tanzania
wanajua kuwa Mengi hana ndoa iliyosimama na
mke wake wa ndoa?? Je wamemsaidia kiasi gani
kusuluhisa ile ndoa?? Au wanamwogopa maana
wakiuliza watanyimwa pesa??? Hapa kidogo
masuala ya hizi dini na utajiri wa mtu linanipa
shida sana. Mchungaji wa kweli ni lazima
ahakikishe kondoo wake wako salama. Kwa
maisha ha Mengi ya kuwa na vimada na uzinzi
mwingi sana hapa mjini ilitosha kabisa kumfungia
shughuli za kikanisa. Mimi nikimwona akisimama
katika hizi harambee za dini huwa nazima tv, ni
mnafiki hafai.
Huwa namtetea sana Mengi kwenye issues nyingi
za kumpinga ila kwa hili la kuoa na kuacha na
kuanza ku date mabinti wadogo (kuna watu
wanamkuadia mabinti na inajulikana) ni aibu. Sijua
kwa nini hakupata fundisho kwa madame Ritta.
Kama alitofautian na mke wa ndoa basi angetafuta
angalao a descent woman mwenye umri wa
kuheshimika ndipo aishi naye tena ki silencer.
Huyu Lilian pia is not a descent kid!!!!! Ana
wanaume kibao hapa mjini!!!! Wakati anasoma
sheria chuo alikuwa ameshaolewa tayari, na jamaa
mwenye uwezo tu na alikuwa anakuja na usafiri
mzuri tu (self drive) na alikwa amezaa tayari. Je
yule mume wameshatalikiana??? Ukweli ni kwamba
hata mumewe wa awali alishindwa kuishi na huyu
dada maana ni Kicheche cha ngono. Eti Mengi
naye anaona kaoa, pengine labda kwa show off tu.
Wana JF inapokuwa tunasema ukweli kuhusu
jambo tuwe makini kutetea hata lile ambalo ni
kinyume na maadili. Tena wale vipenzi wa Mengi
mliomo humu naomba mtafuteni mpeni
counselling ya maisha. Amefanikiwa sana
kibiashara lakini si kifamilia na kimaisha kwa
ujumla. Mafanikio ya mwanaume ni jinsi gani
ameweza kuwa na familia imara na si kiasi cha
liquid and non-liguid assets. It is too much and
greedy for him.
Askofu Malasusa, Laizer na wengine wanasemaje
kwa hili??? Hivi anathubutu kukaa naye high table
kwenye fund raising za KKKT?? Watu wamefanya
dini biashara.Wachungaji na maaskofu wa zamani
wasingekubali hata Mengi kuwasogelea. Ameudhi
hata wanawe kwani kila siku baba ni kubadilisha
wanawake kama kanga au magauni??? it is too
much fo them.
Afu leo wanasema Jacky kamuua
Tabia yake imepelekea hayo
Kumbuka Mungu hamfichi mnafiq
Auaye kwa upanga hufa kwa upanga
 
Sasa hutaki? Ndo lilikuepo sasa bifu, kwani sasa wanavosema Klyn alikuwa anagongwa na Hussein na hata walinzi wa Mzee we unachukuliaje? Bifu kwenye mapenzi halijalishi tajiri wala maskini, kwa sababu viungo vinafanana, na huyo Klyn wamekula vijana wengi tu hata madereva taxi, sasa hutaki?
Inamana klyn akiliwa mimi nahusika vipi hapo??? Au unawashwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja mkuu nimeipitia miaka uliyoandika ndio alikuwa na ukaribu na huyo Lilian.

Kumbe mzee alianza na madam akabwagasha ndio akaja kwa huyo Lilian baadaye ndipo akaja kwa Jack.Kuna maelezo yalitolewa na mkuu mmoja kwenye huo uzi nimefanya kuyacopy

Pamoja na yote haya kwenda kuoa mtoto wa umri
tena mdogo kuliko watoto wako unategemea
nini??? Ni kama yale ya Mugabe!!!!! Sasa kama
binti aliweka picha face book yake si ushamba
huo??? Hayo ni mambo ya private sana hasa
ukizingatia Mengi ni married and he is still married
to his first wife until wameagree divorce. Kitu
ambacho yule mama hana mpango nacho. Huu ni
ulimbukeni kutaka kupata umaarufu kwa kuwa
ameolewa na tycoon. Sasa yameshauanza moto
na kuuzima hawatauweza. Kibao kimewageukia.
Kitu ninachoomba ni kwamba Mengi aache kwenda
kwenye majukwa ya dini na vimchango vyake. Ni
dharau kwa Mungu. Wachungaji wote Tanzania
wanajua kuwa Mengi hana ndoa iliyosimama na
mke wake wa ndoa?? Je wamemsaidia kiasi gani
kusuluhisa ile ndoa?? Au wanamwogopa maana
wakiuliza watanyimwa pesa??? Hapa kidogo
masuala ya hizi dini na utajiri wa mtu linanipa
shida sana. Mchungaji wa kweli ni lazima
ahakikishe kondoo wake wako salama. Kwa
maisha ha Mengi ya kuwa na vimada na uzinzi
mwingi sana hapa mjini ilitosha kabisa kumfungia
shughuli za kikanisa. Mimi nikimwona akisimama
katika hizi harambee za dini huwa nazima tv, ni
mnafiki hafai.
Huwa namtetea sana Mengi kwenye issues nyingi
za kumpinga ila kwa hili la kuoa na kuacha na
kuanza ku date mabinti wadogo (kuna watu
wanamkuadia mabinti na inajulikana) ni aibu. Sijua
kwa nini hakupata fundisho kwa madame Ritta.
Kama alitofautian na mke wa ndoa basi angetafuta
angalao a descent woman mwenye umri wa
kuheshimika ndipo aishi naye tena ki silencer.
Huyu Lilian pia is not a descent kid!!!!! Ana
wanaume kibao hapa mjini!!!! Wakati anasoma
sheria chuo alikuwa ameshaolewa tayari, na jamaa
mwenye uwezo tu na alikuwa anakuja na usafiri
mzuri tu (self drive) na alikwa amezaa tayari. Je
yule mume wameshatalikiana??? Ukweli ni kwamba
hata mumewe wa awali alishindwa kuishi na huyu
dada maana ni Kicheche cha ngono. Eti Mengi
naye anaona kaoa, pengine labda kwa show off tu.
Wana JF inapokuwa tunasema ukweli kuhusu
jambo tuwe makini kutetea hata lile ambalo ni
kinyume na maadili. Tena wale vipenzi wa Mengi
mliomo humu naomba mtafuteni mpeni
counselling ya maisha. Amefanikiwa sana
kibiashara lakini si kifamilia na kimaisha kwa
ujumla. Mafanikio ya mwanaume ni jinsi gani
ameweza kuwa na familia imara na si kiasi cha
liquid and non-liguid assets. It is too much and
greedy for him.
Askofu Malasusa, Laizer na wengine wanasemaje
kwa hili??? Hivi anathubutu kukaa naye high table
kwenye fund raising za KKKT?? Watu wamefanya
dini biashara.Wachungaji na maaskofu wa zamani
wasingekubali hata Mengi kuwasogelea. Ameudhi
hata wanawe kwani kila siku baba ni kubadilisha
wanawake kama kanga au magauni??? it is too
much fo them.

Kipindi hicho hizo picha zilisambaa kupitia emails, kwenye blogs na humu JF zilikuwa zinadhibitiwa, kama umeona kuna members kadhaa wanauliza kwa nini thread za kumponda Mengi zinafutwa?

Ndiyo hivyo mkuu.
 
Back
Top Bottom