britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 29,999
Mtoto wa KingungeKinje ni nani?
Mtoto wa KingungeKinje ni nani?
Kabla au baada ya Miss Universe? Maana huyo Manzi alikuwa chini ya shangazi MS na sitaki kuamini kama na yeye alikuwa akishiriki hiyo biashara kichaa, japo kwa mjini hapa kila kitu kinawezekana!
Mkuu unajua mambo mengi sanaHiyo ya kunyonya ninasikia yule dada aliyeliliwa na boss R ni mtaalamu sana. Hata boss R alidata.
Acha ujinga ww kwahiyo madaam Rita ana miaka 41?Kama ana miaka 41 ina maana aliwazaa akiwa na miaka 3wabongo bwana
Afadhali! Maana mji huu ulichafuka sana zamani. Thanks God hakukuwa na mitandao hii lasivyo pasingetosha!Sidhani kama alishiriki kwenye hiyo business, mara ya kwanza kumwona FM macho kwa macho walikuwa pamoja.
Nakumbuka walitukuta Jackies, kuna kipindi Maisha Club iliungua, nikawa mara kadhaa naenda Jackies na Didis na washkaji tuliokuwa tunakuwa na Maisha.
Walitukuta hapo, hawakukaa sana wakaondoka. Nikaja kuwakuta Diamond kulikuwa na exhibition sikumbuki ya kitu gani.
Hawezi kuwataja kwa sababu hawapo. Kasikia mmoja tu basi anasema wote.Wataje Mkuu kama wao wanavyofukua makaburi
Hawezi kuwataja kwa sababu hawapo. Kasikia mmoja tu basi anasema wote.
Na hata huyo mmoja ndiye aliweka wazi hisia zake (of which siyo kosa) lakini akaishia kudhalilishwa humu. Nilimuonea huruma sana.
Sishauri huo mjadala kuendelezwa hapa!
Mimi wawili mzee.. Nakubaliana na wewe ila sidhani kama ni wote wanafanya hizi mambo!Hawa wenye majina ni pesa 2, nilofanikiwa kmkaza m1 Hawa ni after money..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi wawili mzee.. Nakubaliana na wewe ila sidhani kama ni wote wanafanya hizi mambo!
Hahaha! Siwezi jua but napingana sana na maneno ya jumla jumla boss!
Miaka uliyoweka hapo juu nakumbuka Bss ya madam ndio ilikuwa inaanza akawa anafanyia Itv inamaana kipindi hiyo alikuwa bado hajawa na ukaribu na madam?nilijuwa miaka hiyo ndio walikuwa karibu ndio maana akapata shavu la kipindi chake kurushwa pale.
du kwa hiyo ukisikia ana mtu ujue tayari!Ndio maana nasikia huwa anawatafuna nyuma tuu
Kumbe ni Mtanzania mwenzetu. Mimi nkajua ni mtu wa nje kwa jinsi mnavyoshupaza shingo kumuandama.Mkimbizi wa Rwanda, mzaliwa wa Kigoma.
Ndo huyu Kumbe fiderinSijui kwake pini anamaanisha nini. Labda kaongea kinyume
UgliestNdo huyu Kumbe fiderin
Wa mnandaWa bongofleva ama bongo movie?ni dadavulie mkuu.
Makonda, Gwajima nao ni watanzania ila ukifanya jambo la hovyo lazima watu wazungumze, Trumph, Bashir, Museven sio raia lakini nao tunawaandama pia kwa kuwa some times wana ya hovyo..Kumbe ni Mtanzania mwenzetu. Mimi nkajua ni mtu wa nje kwa jinsi mnavyoshupaza shingo kumuandama.
Kuna mmoja jina limenitoka kabisa, alikuwa 2003 au 2004, alikuwa mweupe halafu mnene, sijawahi kumsikia baada ya hapo.
Nilikuwa namwona chuo miaka hiyo, ila baada ya kumaliza sikumsikia tena.
Ni either before au after Happiness Magesa.