Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Interest

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
3,432
7,055
Haikuwa rahisi.. Ulikuwa ni ugomvi mzito.. Pesa ikashinda.

Kinje alimsaidia Jacky ku-maintain maisha classic ya mjini, career yake ya mitindo/music na kumpatia exposure..

Mengi alikuwa ana ofisi yake maalum ya kufanya mikutano na vijana waliokuwa wakihitaji 'kusapotiwa'. Wengi walipata msaada wake. Nilicheka nilivyosikia Jacky anasema walikutana kwenye ndege! Hassanali anajua zaidi.

Msimu huo ulikuwa ni vita pia kwa wadada wa mjini.. Wenyewe waliita mawindo. Kila mmoja alitaka kupata a finer catch..

Zile nyimbo za K-Lyinn mostly zilimhusu Kinje na madongo kwa mashosti zake. Mambo ya kuporana wanaume.

Pale Makumbusho jirani na eagle wing kuna members only club.. MPs, Ministers, CEOs, Moguls, Dons na Diplomats wanaenda kurefresh.. VIPs only. PIMPs wa enzi hizo wanajua zaidi. Da' Mange naye kachezea sana mikasi pale.. Niishie hapo. Sitaki kuharibu swaum za watu!


Bifu la Kinje na Mengi halikuwa la kibiashara!
 
Back
Top Bottom