Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Wakati kampeni ya kuchangisha pesa za kuwalipia faini Viongozi wa CHADEMA ikiendelea, upande wa CCM Humphrey Polepole ameandika yafuatayo kuhusu faini ya Vicent Mashinji ambae ni Mwanachama mpya wa CCM akihamia kutoka CHADEMA.
•
“Asante CCM Mkoa wa DSM, Mwenyekiti na Kamati ya Siasa kwa kujitoa kwenu kwa haraka ili kesho tukamnusuru Mwanachama wa CCM Vicent Mashinji.
Mtakumbuka kuongoka kwa Mashinji kumetupa picha nzuri ya wasiotutakia mema na mipango yao mingi yenye nia ovu #tunasimamanaMashinji”
Sent using Jamii Forums mobile app
•
“Asante CCM Mkoa wa DSM, Mwenyekiti na Kamati ya Siasa kwa kujitoa kwenu kwa haraka ili kesho tukamnusuru Mwanachama wa CCM Vicent Mashinji.
Mtakumbuka kuongoka kwa Mashinji kumetupa picha nzuri ya wasiotutakia mema na mipango yao mingi yenye nia ovu #tunasimamanaMashinji”
Sent using Jamii Forums mobile app