Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
- Thread starter
- #81
Hii inahusianaje na huu uzi ?Hizi siasa za kijinga jinga za kina Godbless Lema hawa na IQ zao ndogo ndo zimeua kabisa CHADEMA!
Watu ambao hawajui kuishi na kujenga hoja dhidi ya watu ambao wanatafautiana nao.
Inatia aibu sana kwa Taifa eti kina Godbless Lema, Mdude Nyangali ndio think tank ya CHADEMA kwa sasa.
CHADEMA imekosa focus na kuwa chama cha kuzira vikao,chaguzi, kudhalilisha watu , kudhalilisha na kupambana na wanawake kama akina Halima Mdee na wenzake na pia kumshambulia Zitto Kabwe basi.
Li CHAMA la kijinga sana CHADEMA! na kina viongozi na wanachama mediocres sana!