Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,296
- 217,297
- Thread starter
- #61
Umetoa elimu kubwa sanaCharles Mahera ni mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi, siyo mwenyekiti (Mwenyekiti ni Jaji Kaijage). Pia hiyo tume inaitwa Tume ya uchaguzi na siyo Tume huru ya uchaguzi.
Bado hatujawa na Tume huru ya uchaguzi. Tume huru ya uchaguzi haitakiwi kuwa na wajumbe wanaoteuliwa na mwenyekiti wa CCM, kama hao akina Charles Mahera (mkurugenzi) na Mwenyekiti wake Jaji Kaijage. Watakuwaje huru watu kama hawa.