Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,811
- 10,819
Ivi vitambulisho Kuna wafanyakazi za ofisi za umma walilazimishwa kuchukua na wengine kukatwa kwenye mishara yao , hapo mwaka jana lakini .
Leo anakana kila alichokiamuru
Kweli mwanakwetu kashikwa pasipozoeleka kushikwa!
Mkuu umenichekesha Sana na pia umenunikumbusha mbali Sana Bibi mkubwa wangu ni katibu mwenezi wa CCM kata ko ni mwana kada Sasa Kama unataka msielewane ongea vibaya Hawa nyoka wa kijani Sasa siku moja ikatokea skata moja hivi la mashamba wananyang'anya Bibi ambae pia ni mama yake sisi hatuishi huko tupo mikoa mingne na Bibi anaishi sehem nyingne na Mama sehem nyingne Sasa bi mkubwa akatupigia simu Mimi na bro akatuelezea sakata lilivyo Sasa bro yeye ni CDM ni sawa na Mimi tukamwambia Mama tatizo ni hao nyoka wenu wa kijani Mama akaanza kupanic tukasema ngoja Kwanza wamsumbue baadae atajua Sasa mzee yeye ni mtumish wa uuma inajikuta hachangii chochote ila na yeye ni mwana kada ila hajioneshi ko mzee akamsaidiaHuyu mzee Hana haya, juzi juzi bi mkubwa kanipigia simu mtendaji wa Kijiji kaja na sungusungu kumkamata kwamba Hana kitambulisho cha magufuri. Nikamuuliza kwani unafanya bihashara gani? Akajibu jioni watu kijijin wanakusanyika kwangu kuangalia taarifa ya habari na mpira, kwa vile na yeye ni ccm nikamwambia mliyataka wenyewe. Bahati nzuri mtoto wake wa kike akamtumia iyo elfu 20, lakini Mimi nilitaka wamsumbue kwanza maana hawa wazazi wetu wanazingua sanaaaaaa!
May be they do not know that a Country is not a companyNa mbaya zaidi hela ya kuviuza hatuambiwi ilipatikana kiasi gani na imetumika kwenye nini??? Awamu ya Tano kuna ufisadi sana . Kinachosababisha usisike ni vitisho vya kutekwa, kupewa kesi na kupigwa risasi
ExactlyKwani hawawezi kufanya biashara bila kitambulisho? Yeye si angeamuru tu machinga wasibugudhiwe bila kuwatoza gharama ya kitambulisho.
Ajabu wewe hapa peke yako ndo unamwelewa dikteta katika comments/replies 400, kwa hiyo tuseme katika watu 400, Magu ana kura yake 1, hujishangai?Mleta mada ndio anajua hilo leo,
Chadema wanachelewa sana kuelewa mambo,
Jambo linafanyika awamu ya nne wanakuja lielewa awamu wa tano,
Hata anayoyafanya sasa Magufuli watakuja muelewa awamu ya sita, mifano ipo mingi ni jambo la kuwavumilia tu hawa wapinzani tulionao kwani wanachelewa kuelewa mambo.
RC wa Katavi alitimuliwa baada ya kusuasua kuuza vitambulishoTundu Lissu atatolea ufafanuzi huu uongo. kachukua hela halafu anaanza kuruka
Mh hivi vitambulisho vijijini ilifikia hatua hata mtu amebeba debe lake la mahindi kwenda kuuza anaulizwa kitambulisho.Mgombea Urais kupitia CCM Dkt John Magufuli amesema, watu wanazusha kwamba Machinga wanalazimishwa kuwa na vitambulisho, sio kweli. Vitambulisho sio lazima.
''Vitambulisho havilazimishwi ni lazima itolewe elimu kwa wanaoshiriki kwenye vitambulisho ili wakafanye bishara mahali popote, tunataoa vitambulisho ili wanananchi hawa wenye biashara ndogondogo wasisumbuliwe''. Dkt John Magufuli, Mgombea urais kwa tiketi ya CCM.
Aidha amewataka wasaidizi wake wakiwamo wakuu wa wilaya kuendelea kuzingatia maelekezo yake ni wafanyabiashara wa aina gani wanaohitajika kuwa na vitambulisho vya machinga.
Vitambulisho hivyo humwezesha mjasiriamali kufanya baishara bila kutozwa kodi na halmashauri kwa kipindi cha mwaka mzima jambo ambalo hutajwa kuwa linalenga kuwainua wafanyabiashara wa mitaji midogo.
''Tulianzisha vitambulisho hivi kwaajili ya kuwalinda wafanyabiashara wadogo wadogo baada ya kuona wanasumbuliwa na halmashauri, ukiwa na kitambulisho chako utafanya biashara mahali popote Tanzania, vitambulisho haviwezi vikatafutwa kwa bunduki, vitambulisho mtu anakata mwenyewe ni Sh 20000'' Dkt John Magufuli, Mgombea urais kwa tiketi ya CCM.
aiseee wewe funga tu ila kama una presha tafuta sehem ya kujichimbia kwanza uchaguzi uishe maaana utazimia na presha, mkigusa ata 18% ya kura , ongeza mfungo
Na kila ulimi utamkiriSiku ya mwisho kila goti litapigwa
Aisee Hatujapata kiongozi ila tna vinyozi.Leo tunaambiwa siyo lazima
Mkuu hayo maneno twaweza kuyapata katika clip ya video?
Hawa mbogamboga hawakawii kukanusha jambo hadi watwangwe rungu la kuwatoa damu kama kenge
Mimi walinifuata home wakaniambia una kuku zaidi ya 10 wewe ni mjasiriamali lazima uwe nacho. Nilikaza hadi mwishoMh hivi vitambulisho vijijini ilifikia hatua hata mtu amebeba debe lake la mahindi kwenda kuuza anaulizwa kitambulisho.
Wakuu wa wilaya na mikoa ufanisi wao unapimwa kwa mauzo ya hivyo vitambulisho pia.Mgombea Urais kupitia CCM Dkt John Magufuli amesema, watu wanazusha kwamba Machinga wanalazimishwa kuwa na vitambulisho, sio kweli. Vitambulisho sio lazima.
''Vitambulisho havilazimishwi ni lazima itolewe elimu kwa wanaoshiriki kwenye vitambulisho ili wakafanye bishara mahali popote, tunataoa vitambulisho ili wanananchi hawa wenye biashara ndogondogo wasisumbuliwe''. Dkt John Magufuli, Mgombea urais kwa tiketi ya CCM.
Aidha amewataka wasaidizi wake wakiwamo wakuu wa wilaya kuendelea kuzingatia maelekezo yake ni wafanyabiashara wa aina gani wanaohitajika kuwa na vitambulisho vya machinga.
Vitambulisho hivyo humwezesha mjasiriamali kufanya baishara bila kutozwa kodi na halmashauri kwa kipindi cha mwaka mzima jambo ambalo hutajwa kuwa linalenga kuwainua wafanyabiashara wa mitaji midogo.
''Tulianzisha vitambulisho hivi kwaajili ya kuwalinda wafanyabiashara wadogo wadogo baada ya kuona wanasumbuliwa na halmashauri, ukiwa na kitambulisho chako utafanya biashara mahali popote Tanzania, vitambulisho haviwezi vikatafutwa kwa bunduki, vitambulisho mtu anakata mwenyewe ni Sh 20000'' Dkt John Magufuli, Mgombea urais kwa tiketi ya CCM.