Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,661
- 15,026
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Magufuli leo akiwa anaomba kura Karatu ambako ni nyumbani kwa Slaa amesema wazi kuwa tangia mfumo wa vyama vingi uanzishwe hapa nchini Tanzania, kama kuna mpinzani mmoja bora kabisa kuwahi kutokea basi ni Dkt. Wilbroad Peter Slaa.
Dkt. Magufuli amesema Slaa alikuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja kwa masilahi mapana ya Watanzania na ndiyo maana aliamua kumteua kuwa balozi wa Nchi yetu huko Sweden.
Dkt. Magufuli amesema wapinzani wa sasa wanachokijua ni kutukana, kutetea mabeberu na kutoka nje ya Bunge kila Bajeti ya Serikali inapoletwa.
Dkt. Magufuli amesema Slaa alikuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja kwa masilahi mapana ya Watanzania na ndiyo maana aliamua kumteua kuwa balozi wa Nchi yetu huko Sweden.
Dkt. Magufuli amesema wapinzani wa sasa wanachokijua ni kutukana, kutetea mabeberu na kutoka nje ya Bunge kila Bajeti ya Serikali inapoletwa.