Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nitastaafu Urais mwaka 2025 na kupisha wengine


Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea urais kupitia CCM amesisitiza kuwa atastaafu rasmi Urais na kamwe hataongeza hata siku moja ifikapo 2025.

Kauli hii inaondoa kiwingu kilichokuwepo kuwa upo uwezekano wa kubadilishwa katiba ili aendelee kudumu kama walivyo marais wengi barani Afrika.

Tanzania imekuwa na utamaduni wa marais kuachia ngazi kila baada ya miaka 10 ya kuhudumu Ikulu.

My Take: Pamoja na kufanya Mengi bado Rais Magufuli ataiheshimu katiba na utamaduni wa nchi yetu.
2025??????? thubutuuuu tunakustaafisha kwa manufaa ya UMMA. Tarehe28.10.2020
Ukapumzike Chato Urais kazi nzito na wewe ushazeeka huiwezi tena
 
Rais alishasema na anarudia mara kwa mara.

Msimamo wake unaeleweka,

Wasio mtakia mema wanataka kumchafua tu.
 

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea urais kupitia CCM amesisitiza kuwa atastaafu rasmi Urais na kamwe hataongeza hata siku moja ifikapo 2025.

Kauli hii inaondoa kiwingu kilichokuwepo kuwa upo uwezekano wa kubadilishwa katiba ili aendelee kudumu kama walivyo marais wengi barani Afrika.

Tanzania imekuwa na utamaduni wa marais kuachia ngazi kila baada ya miaka 10 ya kuhudumu Ikulu.

My Take: Pamoja na kufanya Mengi bado Rais Magufuli ataiheshimu katiba na utamaduni wa nchi yetu.
Anajuaje atashinda
 
Kiongozi wa bunge ni nani? Kwani yeye ndio muamuzi?
Aliposema mlimshangilia na kupiga meza. Kwani mara ngapi chombo hicho kimepitisha mambo ya hovyo kwa kudhani wanawakomesha wapinzani ?!. eg muswada wa Gas na mafuta
 
Back
Top Bottom