Bwana Jela
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 131
- 655
- Thread starter
- #21
Kaka yangu Mbona unaniita majina mabaya
Kumbe naongea na msukule.. uwe na mchana mwema
Kumbe naongea na msukule.. uwe na mchana mwema
Suti imemkaa fresh mzee baba
Ova
Atakapoishia Segerea kwa ukatili alioufanya usisite kuleta uzi mpya hapa
Labda unawauliza maaskari magereza wazee wasiojielewa.Mimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na Magufuli
Kila ukiuliza mtu anasema atapigia Magufuli kura
Labda unawauliza maaskari magereza wazee wasiojielewa.
Hapana kaka yangu nimeongea na vijana Wengi Wanasema watapigia kura Rais Magufuli
Huyu huyu alewaambia watu sikuleta tetemeko Mimi ,
Huyu mzee anazeeka kwa kasi ya 5G
Bwana jela, unawekaje makopa kopa kwenye picha ya mwanaume mwenzio? Embu tupe status ya marinda yako
Huyu huyu alewaambia watu sikuleta tetemeko Mimi ,
Mimi ni mtumishi wa umma, ofisi yetu tupo kama 40 hivi, kura za Magufuli hazizidi 5.
Ninaishi Uswahilini nako vijana hawamtaki huyu Magufuli.
Wewe vijana gani wanaokuambia wanamtaka Magufuli?
Au ni wana UV CCM wenzako?
Yaani muda wote huo ulikuwa hujui unaongea na mtu wa aina gani? Mwenzio anakuambia anaamini watumishi wameongezwa mishahara yaani hana haja ya kujua yee anaamini tuKumbe naongea na msukule.. uwe na mchana mwema
Achana naye huyo boyaWafanyakazi wameongezewa mishahara kwa miaka 5? (nao ni uzushi)
Hebu tuondolee UPUUZI WAKO!
Dah!!!!,very sadMAAFA ALIYOWAFANYIA WATANZANIA
1. 16/38 risasi, sep/7
2. Ben Saanane
3. Azory
4. Mawazo
5. Mkiru...over 1,000 people dead
6. Uncountable Coco beach sandarusi maitii
7. and many any other atrocities due to be identified when time is ripe!
...Orodha inaendelea
8. Offisi ya Fatma Karume kupigwa mabomu
9. Akwilina Aquilin
10. Makonda kuvamia kituo za Clouds
11. Ubambikizaji wa kesi
12. Kuwanyima maendeleo wasiochagua CCM
13. Dotto James
14. Mayanga Construction
15. Utumiaji wa watumishi na mali za serikali kwenye kampeni za CCM
16. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na polisi
17. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na wanachama wa CCM