Mheshimiwa Rais amesema katika kipindi chake cha utawala, mwanafunzi wa shule ya msingi au sekondari atakayepata mimba, hataruhusiwa kurudi shuleni.
"Awe kaipata kwa raha zake, awe kaipata kwa bahati mbaya, akishapata mimba, elimu ya serikali basi"
Amezitaka NGOs zinazowatetea ziwafungulie shule za wazazi.
"Serikali haiwezi kusomesha wazazi", amesisitiza.
"Awe kaipata kwa raha zake, awe kaipata kwa bahati mbaya, akishapata mimba, elimu ya serikali basi"
Amezitaka NGOs zinazowatetea ziwafungulie shule za wazazi.
"Serikali haiwezi kusomesha wazazi", amesisitiza.