johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Dkt. Magufuli amewataka wananchi wa Makambako wamchague Mgombea Ubunge wa CCM Jah people kwa sababu kwenye ubunge hatuchagui degree bali mtu.
Dkt. Magufuli amesema Jah people salamu yake ni Kidumu chama cha mapinduzi hivyo wakimleta bungeni wataelewana ila wakimleta yule anayesalimia kwa alama ya manati sitawaelewa.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Dkt. Magufuli amesema Jah people salamu yake ni Kidumu chama cha mapinduzi hivyo wakimleta bungeni wataelewana ila wakimleta yule anayesalimia kwa alama ya manati sitawaelewa.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!