kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 512
NEC mbona mgombea CCM anavunja sana maadili na hawampi adhabu? Akivaa kijani yupo kama mgombea na mbona anazungumuza tumetenga hela, nitawaletea hiki hela ipo, anapiga simu kwa Mfugale kuhusu daraja like au kile. Anapiga simu kwa makatibu wakuu wa wizara mpaka kwa mawaziri. Hii sio rushwa kweli?
Maana kutamka mkiletea wa chama kingine sileti maendeleo kwenu, sio rushwa hiyo NEC? Inamaana anataka wote wawe CCM? Wananchi kubagulia kwenyehuduma sababu ya vyama.
Yeye anasema maendeleo hayana chama, lakini yeye ndo nambari moja kuhubiri uchama kwenye maendeleo. Hili tume wanafanya kusudi sana na ni upendeleo wa waziwazi kwa CCM.
Maana kutamka mkiletea wa chama kingine sileti maendeleo kwenu, sio rushwa hiyo NEC? Inamaana anataka wote wawe CCM? Wananchi kubagulia kwenyehuduma sababu ya vyama.
Yeye anasema maendeleo hayana chama, lakini yeye ndo nambari moja kuhubiri uchama kwenye maendeleo. Hili tume wanafanya kusudi sana na ni upendeleo wa waziwazi kwa CCM.