Safi kabisa..mpe mtu atakayehakikisha yale MAKINIKIA yaliyopo bandarini hayasafirishwi nje ya nchi yanasafishwa kwenye smelter zetu hapa nchini.Hahahh
Kushoto kulia, kushoto kulia
Wapo wanaopinga jitihada zako
Wanaona Aibu wanaogopa, wanaogopa
Sina Chama Lakini Nampa MAGUFULI
Siwezi kumpa Mtu kula akaweke rehani Madini Yetu