Acha kujifariji, muache kupelekeshwa na watu ambao akili zao ni nusu kama Tundu LissuUpuuzi gani?? Kwani kura zilizopigwa na wananchi zilihesabiwa?
Acha kujifariji, muache kupelekeshwa na watu ambao akili zao ni nusu kama Tundu LissuUpuuzi gani?? Kwani kura zilizopigwa na wananchi zilihesabiwa?
Hivi acha utoto ati chuki kwa watanzaniaKivipi??? Si mmeiba haki za watanzania kupata viongozi wanaowataka??? Sasa subirini kama mtaweza kutibu kiu ya watanzania au ndo mtaongeza chuki zaidi kwa watanzania.
Mkuu Lord denning, njoo uone ukuu wa maono yako hapo.Ndo mana mwisho wake kuwa raisi utakuwa November 2020. Kama Mungu aishivyo huyu jamaa hawi two terms President hapa Tanzania.
Huwezi kumchezea Mungu alafu akakuacha. Huyu alikuwa muuaji na mtesaji aliyejificha kwenye kivuko cha kumtaja taja Mungu ili awachote wapumbavu. Mungu amefanya yake tayari.Mkuu Lord denning, njoo uone ukuu wa maono yako hapo.
Anatawala kutoka futi sita chini ya Ardhi huko Chato. Nyambafu kabisa yule diktetaNa duniani kote ni Tanzani tu ambako mtu kama Magufuli bado anaweza kuendelea kuwa Raisi.
Kwa kauli hizi za kibaguzi ndo zilifanya nisimkubali JPM kabisa, kujenga barabara, flyovers, etc notwithstanding!Huwezi kumchezea Mungu alafu akakuacha. Huyu alikuwa muuaji na mtesaji aliyejificha kwenye kivuko cha kumtaja taja Mungu ili awachote wapumbavu. Mungu amefanya yake tayari.