Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na Masista wa Bikira Maria of Kilimanjaro (Sisters of our lady of Kilimanjaro) Moshi mjini mkoani Kilimanjaro wakati akitoka kwenye mkutano wa Kampeni za CCM.
Masista hao walikuwa wamejipanga pembezoni mwa barabara.
Licha ya mazungumzo, masista hao walimuombea Magufuli baraka.
Masista hao walikuwa wamejipanga pembezoni mwa barabara.
Licha ya mazungumzo, masista hao walimuombea Magufuli baraka.