uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Sema chadema sasa hamna hela, uchaguzi wa 2015 mabango ya chadema yalizagaa nchi nzima hadi hapa kuwa na sehemu ya kubandika tukawa tunafungia maandazi,sasa wewe mama umeolewa juzi na kutimiza miaka 18 hujuwi ilikuwaje ulipokuwa na 13 yrs.Soma madam uelewe anatumia nguvu zake kivipi kuwashawishi wapiga kura?
Mabango mpaka kwenye vyoo vya stand amechafua Kila mahali.
Haki huinua TAIFA