Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli akemea wanasiasa wanaochochea fujo

Alwatan Mabruki

Senior Member
Sep 20, 2020
132
116
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.

Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.

Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.

Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA✅
 
IMG-20201021-WA0019.jpg
 
We kila siku maneno yako ni haya haya ya kipumbavu kila inapowekwa komenti yoyote inayomuhusu mhe Rais Magufuli, kwani we ulimuona ameshika bunduki anamlenga huyo kichaa mwenzenu!!? Unakera sana weye ng'ombe.
Nimemtaja nani? Sijamtaja mtu! All in all, by necessary implication ni yeye! Kwanini alimnyima hela za matibabu, kwanini alimfukuza ubunge?
 
Nimemtaja nani? Sijamtaja mtu! All in all, by necessary implication ni yeye! Kwanini alimnyima hela za matibabu, kwanini alimfukuza ubunge?
We shida yako ni kuolewa?? basi wasiliana na Robert Amstadarm akupe mume.
 
We kila siku maneno yako ni haya haya ya kipumbavu kila inapowekwa komenti yoyote inayomuhusu mhe Rais Magufuli, kwani we ulimuona ameshika bunduki anamlenga huyo kichaa mwenzenu!!? Unakera sana weye ng'ombe.
Yaani wewe kumuona Magufuli mungu wako basi unataka wote wawe kama wewe..?

Pumbavu mbona mmeo ameshindwa kujibu hoja ya WASIOJULIKANA.?? wewe ndio unamjibia
 
Mleta bandiko acha uongo, kura zote Zina hesabiwa kituoni mbele ya Mawakala, baada ya hesabu matokeo yanajazwa kwenye fomu ambayo kila wakala ana pewa nakala izo fomu Zina sainiwa na Mawakala wote. Baada ya Mawakala ku saini fomu za matokeo msimamizi ana bandika nakala ya matokeo iliyo sainiwa na Mawakala katika kituo husika.

Baada ya matokeo kubandikwa maboksi ya kura pamoja na kura zilizokwisha kuhesabiwa yanakwenda kwenye kata kwa majumuisho na apo wakimaliza yanakwenda wilaya kwa majumuisho.uko kote kuna Mawakala wa vyama.
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom