Mnajitekenya na mnacheeka! Mwaona raaaaha du! Kwani hatuoni kuwa shule za sekondari zinafungwa na wanafunzi wana pewa tisheti za njano na kijani ili kuhudhuria? Hatuoni ofisi zikifungwa na wafanyakazi kulazimishwa kwenda kwenye mkutano? Mnajisifia nyomi na kutufanya hatuoni. Du!!! Kwani yale malori yanayoleta watu kwenye mikutano hatuyaoni? Nyomi ya mikutano ya Magufuli ni feki ila tu mmejidanganya na kudanganyika na mnataka kutudanya kwamba mnapendwa!! Loh!! Ila tu, Kilimanjaro hawadanganyiki. NAWAJUA FIKA,!Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.
Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.
Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.
Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.
Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.
Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Jaman jaman kalamu zenu mtumie vizuri sisi ambao tuko huku ndio tumeshuhudia sio kuhadithiwa kma kubeba watu kutoka wilayan na mabas kuanzia same,mwanga na boma nk nikujaza nyomi ya watu na kubomoa ngome bas mmebomoa kweli kweli Kabla hamjaandika fanyeni utafiti au ulizeni ndugu jamaa n marafiki wanaoishi sehemu husika .
Ndugu huwajui wachaga vizuri
Chadema inajifariji sana na hoja kuwa nyomi ya JPM inaletwa na Malori. Hivi nyomi ya kujaza viwanja vya mpira kama ile ya Dar, Tabora, Arusha, Mwanza na mengine itasombwa na lori ngapi. Lambda mji wote siku hiyo unaweza malori na mabati lakini bado. Basi kubwa inaveba watu 60 tu. Fikiria kwa watu 600000. Ni kujifariji lakini matokeo mtayaona kwenye Sanduku la kura mkiona JPM anapata zaidi ya 90 % mtaelewa ukweli. Msiache kurudi hapaKILA anapokwenda nyomi lipo...tatizo siyo nyomi,tatizo Hilo nyomi limetokea wapi?same alijaza Sana WATU,lakini wengi waliletwa toka vijijin ndan ya malori kma ng'ombe..JITAFAKARINI SANA,MAANA MNAMDANGANYA MCHANA KWEUPE...NAYE HAJUI KINACHOENDELEA .AU ANAAMUA KUKAZA SHINGO TU
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Kama ya Kilimanjaro imevunjika, kuna ngome nyingine imekuwa imara zaidi. Hii hapaWatanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.
Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.
Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.
unjua maaana ya wchaga kunyanyua masale? zile ni ishu za kiimani kabisa, sasa kama mpaka magu kanyanyuliwa, kaa utulie tu maaana hakuna namna utafanya wachaga wakiamua, after all na leo alikua arusha, vp ngome yenu imegoma ama maaana kati ya sehem watu walikua wana wasiwasi nako ni kilimanjaro na arusha
Sidhani kwamba vyama vingine vimezuiliwa kwenda na wasanii. Kwanini wasiende nao kama wapo?Sawa ni watz, ila vyama vingne haviendi mikutanoni na wasanii na bado vinapata nyomi...thubutuni na nyie muone.