nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Kwani wapinzani wana hoja ipi ?
Jamaa kama nanilii vile, hana hoja zaidi ya hayo mabarabara na ma flyover na midege ambayo Mungu ameilaani.
Haijawahi kuleta tija na likorona limeyakoronoa madege yenyewe