Shabani Ajaha
Member
- Aug 18, 2021
- 78
- 60
DKT. MABODI ASHIRIKI UCHAGUZI NGAZI YA SHINA
Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Dkt. Abdulla Juma Saadalla ameungana na Wanachama wenzake wa shina Namba 2, Tawi la Rahaleo, Jimbo la Kikwajuni Mkoa wa Mjini kufanya Uchaguzi wa Viongozi katika shina namba 2. Nafasi zilizopigiwa kura ni Mwenyekiti wa Shina na Wajumbe Wanne wa Kamati ya Shina
CCM IMARA, SHIRIKI UCHAGUZI KWA UADILIFU
Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Dkt. Abdulla Juma Saadalla ameungana na Wanachama wenzake wa shina Namba 2, Tawi la Rahaleo, Jimbo la Kikwajuni Mkoa wa Mjini kufanya Uchaguzi wa Viongozi katika shina namba 2. Nafasi zilizopigiwa kura ni Mwenyekiti wa Shina na Wajumbe Wanne wa Kamati ya Shina
CCM IMARA, SHIRIKI UCHAGUZI KWA UADILIFU
#zanzibarmpya #ccmzanzibar #ccmtanzania #dr.hmwinyi