Ha ha ha, ngoja tusubiri season nyingine kuu kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020.Kweli siku hazigandi... Tuko season ya Pierre sasa.... Dr.. Kapotea kusikojulikana na mamilioni hatujawahi kuyaona... Kwa simulizi zake na mambo aliyopitia.... Kweli duniani kuna viumbe wa aina yake, na huyu ni mmojawapo
Jr
It's okay, it's okay Mkuu Mshana Jr; Usishangae Dkt. Louis Shika akaibuka tena kivingine.Zinakuja seasons kama 8 hivi
Jr
Mahitaji ya nyakatiNimeshangazwa sana na pierre kuingia bungeni .
What was the reason ya bunge kuruhusu kijana mwenye kauli tatanishi kuingia bungeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Maswala ya kukamatwa amezoea"Ni ngumu. Kuifananisha habari ya Dr na story za kutunga.
Bado najiuliza ujasiri wa kwenda kununua nyumba za bil 2. Ameupata wapi?
Amekaa rumande siku 6. Lakini ametoka kama alivyoingia.
Hii ina maanisha. Masuala ya kukamatwa yeye amezoea.
Wewe umespecialize kwenye nn haswa
Mambo ya kiroho
Sema mambo ya kiganga
Nimegundua hata hapa Jf tunao wengi tuu.. Kuna watu wamechangia hapa kwa kusoma heading tuu
Company haikuanzishwa na Dr Shika wholly from the scratch, kwa mujibu wa maelezo ya Dr Lancefort company ilikua ni kama tuseme National Milling Cooperation ya Tanzania, company iliyoanzishwa na serikali lakini baadae ikaja kufa baada ya sera mbovu za privatization.
Sasa Dr pamoja na wenzie walikuja kuipata Lancefort ikiwa ilikufa lakini assets zote zipo na inaonekana ilikua company kubwa yenye branches nchi kadhaa za Europe na mnamo miaka ya 1994 mpaka 2000 ilipata misukosuko mingi kwa nchi zote zenye branches
Ikiwemo mpaka Ireland ambapo Lancefort iliwekwa kwenye ufilisi na serikali Lancefort Ltd given leave to appeal court rejection to Supreme Court
Ili tuweze kusimamia theory yetu ya ujasusi, ni lazima hoja ya kutoroka tuitafutie maelezo mengine maana KGB siyo mateja!
Kwa aina ya mateso aliyopata kisha akasalimika na kifo akili ikibaki salama basi huyo ni jini