Ujinga Ujinga mwingi sana aiseeHii nchi hiii
Basi tu.
Lazima awe sukari kama anauwezo wa kutoa uchachu wa maisha yaoNaskia wanamuita sukari ya warembo 2017.....
Ana nyota ilokua haijawaka sasa imewaka uzeeniSijui kwa nini ila Dr. Shika ana kitu fulani nyuma yake...he is so lovable and simple...ila sijui tu
Uyu Mzee akitaka kujiaribia ajiunge na ccm.Dr. Shika mda sio mrefu mtasikia amejiunga na ccm
Natamani kujua alichoongea mkuuBora ukae kimya mkuu maana ungepata kuona na kusikia aliyoyalonga ungekimbia kujificha ukaona elimu yako si lolote.
Huyu jamaa ni intelligent no matter how his current situation seems to embarrass you bro.
Hapana ila hiyo ni market stratergy ya mwenye chuo maana kupitia dr shika chuo chake kimejulikana na hata mimi na wewe huenda tusingekifahamu bila dr shika.Duuuh ..huyu Mzee atakuwa anapesa kweli..tusimchukulie poa
Panua fikra zako,mipango ya watu wengine huwezi kuifahamu kama unamawazo mgando,usilaumu watanzania utakuwa unapigana na upepo...kuing'oa au kutoing'oa CCM kuna uhusiano gani na kualikwa Dr Luis katika mahafali?Usichanganyikiwe mkuu..pambana na hali yakokwa mambo kama haya ndipo utapogundua ni jinsi gani itakuwa vigumu kwa Watanzania kumng'oa mkoloni mweusi CCM.
ni nchi iliyosheheni a bunch of jokers.... CCM wanalijua hili na wana-capitalize kisawasawa.
kuing'oa CCM kunahitaji watu wachache wajitoe ufahamu halafu.......bang!
kama Zimbabwe vile. nani alitegemea Mugabe angeondoka madarakani leo kama si kwa watu wachache kujitoa ufahamu??