Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nimefuatilia mahojiano ITV Kati ya mtangazaji na Dr. Kitilla Mkumbo kuhusu hoja mbalimbali.
Kwa ngazi yake ya elimu na hoja alizotoa unaona namna elimu ya Phd isivyo na umuhimu hasa kwa mwanasiasa.
Leo Kitila Mkumbo aliyekosa ushawishi kwa Wana ubungo anatuaminisha upinzani imepoteza imani kwa wananchi?
Kwamba yeye huko aliko anaona anapendwa na wanapendwa?
Naomba nimkumbushe kwamba siku zote mate utemwa chini na hata yakitemwa kuelekea juu yatarudi chini tu.
Upinzani siyo chama Tena Bali ni imani ya watu hivyo hata ufanye mazuri mengi kiasi gani bado unahitaji dola kusalia madarakani na si wananchi. Hakuna mwananchi mwenye imani na chama Tawala Duniani, watu wanatamani kuona mifumo mipya kila wakati.
Watu wanataka haki ya kuishtakiwa iwe kwa wote kwa dhana kwamba hakuna binadamu aliye juu ya sheria. Nani atakuwa na amani na mtu mwenye mamlaka yakushtaki lakini yeye ashtskiwi?
Mgabe alipoondoka ikulu ndipo alipojua kwamba hakuna mzimbabwe aliyekuwa na kiu yakumwona akiwa anatawala ila awali akiwa madarakani kila mtu alionekana kuwa mfuasi wake. Alipopinduliwa hata Mawaziri na wasaidizi wake awakumsapoti walikaa pembeni.
Kwa mfano huu nataka kumsaidia Dr. Mkumbo kwamba ulimwengu huu wa sasa hakuna uwekezaji unaofanywa kwa kupenda mtu au chama cha siasa Bali uwekezaji upo kwenye mabadiliko.
Na tafsiri ya mabadiliko haiwezi kuletwa na chama Bali mabadiliko ni itajio la kila siku likihusishwa na dhana ya endles needs.
Ajikite kwenye nafasi ya Waziri na majukumu yake, habari za siasa za vyama awaachie kina polepole. Unapopewa muda wakuzungumza Kama Waziri jikite kwenye hoja zakiwizara maana muda ni mchache na matatizo ni mengi.
Kwa ngazi yake ya elimu na hoja alizotoa unaona namna elimu ya Phd isivyo na umuhimu hasa kwa mwanasiasa.
Leo Kitila Mkumbo aliyekosa ushawishi kwa Wana ubungo anatuaminisha upinzani imepoteza imani kwa wananchi?
Kwamba yeye huko aliko anaona anapendwa na wanapendwa?
Naomba nimkumbushe kwamba siku zote mate utemwa chini na hata yakitemwa kuelekea juu yatarudi chini tu.
Upinzani siyo chama Tena Bali ni imani ya watu hivyo hata ufanye mazuri mengi kiasi gani bado unahitaji dola kusalia madarakani na si wananchi. Hakuna mwananchi mwenye imani na chama Tawala Duniani, watu wanatamani kuona mifumo mipya kila wakati.
Watu wanataka haki ya kuishtakiwa iwe kwa wote kwa dhana kwamba hakuna binadamu aliye juu ya sheria. Nani atakuwa na amani na mtu mwenye mamlaka yakushtaki lakini yeye ashtskiwi?
Mgabe alipoondoka ikulu ndipo alipojua kwamba hakuna mzimbabwe aliyekuwa na kiu yakumwona akiwa anatawala ila awali akiwa madarakani kila mtu alionekana kuwa mfuasi wake. Alipopinduliwa hata Mawaziri na wasaidizi wake awakumsapoti walikaa pembeni.
Kwa mfano huu nataka kumsaidia Dr. Mkumbo kwamba ulimwengu huu wa sasa hakuna uwekezaji unaofanywa kwa kupenda mtu au chama cha siasa Bali uwekezaji upo kwenye mabadiliko.
Na tafsiri ya mabadiliko haiwezi kuletwa na chama Bali mabadiliko ni itajio la kila siku likihusishwa na dhana ya endles needs.
Ajikite kwenye nafasi ya Waziri na majukumu yake, habari za siasa za vyama awaachie kina polepole. Unapopewa muda wakuzungumza Kama Waziri jikite kwenye hoja zakiwizara maana muda ni mchache na matatizo ni mengi.