Lisa Rina
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 2,415
- 4,262
Jamaa ana sifa hadi kero yani mie ananikeraga yuleTuogope kusema ukweli kuhusu Dr Kimei kustahili kutumbuliwa kwa kutaka kumchelewesha na kumkwamisha Mungu wa Ikulu ? Usiogope kusema kweli Mkuu msema kweli siku zote ni mpenzi wa Mungu, yule Mungu wa ukweli siyo huyu Mungu wa Ikulu anayependa kudanganywa danganywa na pia ni mpenda sifa sana.