Dkt. Kigwangalla: Tulichongewa tulisimangwa na tulisingiziwa na kunyanyaswa lakini nashukuru Rais Samia ameujua ukweli

Hata kama Jiwe alikuwa muovu na kweli alikuwa lakini Kigangwala, Dungai wasingemsema vibaya kabisa. Jiwe alimgharamikia Kigwa ile ajali aliyomtoa Braza Temba kafara. Pia Jiwe alivunja hazina kabisa kumtibu jobu (mbishi wa kufa). Hapo unajifunza unafiki wa kiwango cha juu kwa watanzania.

Suleiman Kova Sasa hivi anadai na kulalamika akiwapigia polisi wenzake waliopo kazini simu hawapokei anabaki kushangaa WTF!
 
Hata kama Jiwe alikuwa muovu na kweli alikuwa lakini Kigangwala, Dungai wasingemsema vibaya kabisa. Jiwe alimgharamikia Kigwa ile ajali aliyomtoa Braza Temba kafara. Pia Jiwe alivunja hazina kabisa kumtibu jobu (mbishi wa kufa). Hapo unajifunza unafiki wa kiwango cha juu kwa watanzania.

Suleiman Kova Sasa hivi anadai akiwapigia polisi wenzake waliopo kazini simu hawapokei anabaki kushangaa WTF!
Kova naye anapatia haya?
 
Suleiman Kova Sasa hivi anadai akiwapigia polisi wenzake waliopo kazini simu hawapokei anabaki kushangaa WTF!
Mwambieni Kova polisi walikuwa wafanyakazi wenzake tu siyo ndugu Wala rafiki zake. Kwahiyo asiwalumu kutokupokea siku zake
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom