kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Huyu na Mwigulu hawana pa kukwepea,ila basi tu kwa kuwa mmoja kajibanza kwenye upenu wa uwaziri
Huyu na Mwigulu hawana pa kukwepea,ila basi tu kwa kuwa mmoja kajibanza kwenye upenu wa uwaziri
Kama aliwarudisha Makamba na Mbalawa atashindwa nini kuwarudisha Kigwangalla na Nape; kinachotakiwa ni kwa wao kuwa karibu na Kikwete tu!Hii nchi ni ngumu sana!!na si ajabu ukamsikia ame rudishwa tena kwenye baraza la mawaziri!!yaani hadi unashindwa kujua ina maana hakuna kabisa watu wapya wa kufanya kazi kila siku sura ni zile zile tu!!
Mama anawajua wote na kwanza anasoma nyuzi zote humuJana Dr Hamis Kigwangalla aliyekwahi kuwa Waziri wa Utalii ali tweet kama ifuatavyo:
View attachment 2034648
Ni wazi anatafuta ukaribu na Rais SSH. Tumsaidie Rais SSH kumtahadharisha dhidi ya UCHAWA wa HKigwangalla. Huyu ni mtu wa HOVYO sana, anatafuta namna tu ya kumsogelea Samia lakini ni mchafu, mwizi, mtu wa kujipendekeza na mchonganishi kupita maelezo. Kama Mama anataka MACHAWA awatengeneze mwenyewe wa kwake lakini siyo Kigwangalla
Mchumia tumbo tu huyo kama wengine.Jana Dr Hamis Kigwangalla aliyekwahi kuwa Waziri wa Utalii ali tweet kama ifuatavyo:
View attachment 2034648
Ni wazi anatafuta ukaribu na Rais SSH. Tumsaidie Rais SSH kumtahadharisha dhidi ya UCHAWA wa HKigwangalla. Huyu ni mtu wa HOVYO sana, anatafuta namna tu ya kumsogelea Samia lakini ni mchafu, mwizi, mtu wa kujipendekeza na mchonganishi kupita maelezo. Kama Mama anataka MACHAWA awatengeneze mwenyewe wa kwake lakini siyo Kigwangalla
Hata hii PICHA ya HAYATI BABA wa TAIFA WALIKUCHONGEA?Mbunge wa Nzega vijijini Kigwangalla ameandika kwenye ukurasa wake twitani kwamba, Tulionewa Tulisimangwa, Tulisingiziwa na Kunyanyaswa na watu waliokuwa na access lakini sasa mambo yao yako wazi tena yana ushahidi. Namshukuru Rais Samia kwa kuliona hilo.
Kiukweli Lumumba moto unawaka sawia na Ufipa.
Dominica njema!
Hongera Rais Samia kwa kusikia kilio changu. Last month nilikutahadharisha kuhusu Dr Hamis Kugwangalla. Nilikuonya kuwa anajaribu kujisogeza karibu na wewe ili umteue.Jana Dr Hamis Kigwangalla aliyekwahi kuwa Waziri wa Utalii ali tweet kama ifuatavyo:
View attachment 2034648
Ni wazi anatafuta ukaribu na Rais SSH. Tumsaidie Rais SSH kumtahadharisha dhidi ya UCHAWA wa HKigwangalla. Huyu ni mtu wa HOVYO sana, anatafuta namna tu ya kumsogelea Samia lakini ni mchafu, mwizi, mtu wa kujipendekeza na mchonganishi kupita maelezo. Kama Mama anataka MACHAWA awatengeneze mwenyewe wa kwake lakini siyo Kigwangalla
Acha kujipendekeza lofa wewe mjane wa charles mbowe.Hongera Rais Samia kwa kusikia kilio changu. Last month nilikutahadharisha kuhusu Dr Hamis Kugwangalla. Nilikuonya kuwa anajaribu kujisogeza karibu na wewe ili umteue.
Mkeka imetoka na Kugwangalla hayupo. Asante sana
Malaya shika adabu, huu siyo uwanja wa kutafuta mabwana. Mbwa weweAcha kujipendekeza lofa wewe mjane wa charles mbowe.
Kama una uwezo wa kumuonya rais Samia si umwambie akuteue sasa
Kigwangalla ni fisadi aliyekosa nafasi. Sasa hivi linahaha kama malaya wa Chako ni Chako kwa kuwa snitch wenzieMbunge wa Nzega vijijini Kigwangalla ameandika kwenye ukurasa wake twitani kwamba, Tulionewa Tulisimangwa, Tulisingiziwa na Kunyanyaswa na watu waliokuwa na access lakini sasa mambo yao yako wazi tena yana ushahidi. Namshukuru Rais Samia kwa kuliona hilo.
Kiukweli Lumumba moto unawaka sawia na Ufipa.
Dominica njema!