macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,791
- 39,582
Uliza tena na tena. Kila anapofungua mdomo ndiyo anavyozidi kujianika! Halafu unaambiwa huyu alikuwa waziri!Why huyu Kigwangala hawezi nyamaza?
Uliza tena na tena. Kila anapofungua mdomo ndiyo anavyozidi kujianika! Halafu unaambiwa huyu alikuwa waziri!Why huyu Kigwangala hawezi nyamaza?
jamaa kama bado anaweweseka kwa kuukosa uwaziriWhy huyu Kigwangala hawezi nyamaza?
Kigwangala asituone sisi wote ni wajinga,kwahiyo Kama tilikuwa hatujui chanjo,Huyu KABUDI wake alienda Madagascar kufanya nini?Kwa baada ya magufuli kuondoka Sasa hivi kuna hizo dawa za kutibu Hiyo UVIKO-19 .?
Na kuhusu chanjo tumeanza kusikia toka kitambo ina maana ndani na hizi siku ngapi baada ya magufuli kuondoka ndipo chanjo imegunduliwa kweli?
Mwisho lazima tuelewe kwa sasa tupo utawala mwingine haya mambo ya awamu iliyopita kila siku yanachosha.
Hatuwezi kurudisha siku nyuma.
Tatizo la nchi hii wanasiasa wanapenda kiki sana.
Mwanahamis mtoto wakinyamwezi kuongea humuweziWhy huyu Kigwangala hawezi nyamaza?
Yaaaaani!Why huyu Kigwangala hawezi nyamaza?