Dkt. Kigwangalla: Ripoti ya CAG ni ya uongo, nimechafuliwa sana. Prof. Adolf Mkenda ndiye aliyeratibu mimi kuchafuliwa

Kuelewa hoja za Kigwangalla inabidi uwe unaufahamu wa control systems za uhasibu na auditing processes.

Kwa hili ana hoja za msingi na ameonewa ukisikiliza maelezo yake tu, binafsi naona matatizo yake binafsi na Mkenda wayamalize kwenye vikao vyao huko Lumumba majungu ndio hulka ya wana ccm tushawazoea wote wanafiki.

Ila on proffesionalism kwa watu makini kama auditor anaweza andika report kwa ushawishi wa mtu mwingine na ndio chombo kinachotegemewa ni mbaya sana.

An auditor report ikishakoselewa aikuwa independent inatakiwa kazi iliyofanyika ichunguzwe na ifutwe mara moja ikibainika ni ukweli uwezi tumia hiyo report na auditors husika kuchukuliwa hatua.

Mambo mengine ni ngumu kuelewa if you don’t understand the specific industry norms, nje ya Tanzania accusations za Kigwangalla ni very serious offences kwa wahusika waliokaguwa wizara; unless ofisi ya CAG wajitete kwa kusema wametumia internal auditor report.

Otherwise kwa CAG this is very bad na bunge linatakiwa kuchukulia hizo hoja za Kigwangalla serious they rely on CAG reports kwa maamuzi yao mengi sana kama kazi zenyewe sio independent ni tatizo kubwa sana as far as auditing is concerned.

#MKENDA MUST RESIGN!
#CAG MUST GO!
#JUSTICE4KEY-GWANGALLA!
 
Huyu Dr wa kuku yeye alikuwa anatumia pesa za umma kusafiri na warembo hakuona kosa?
MUda mwingi ofcn alikuwa akitumia kulumbana na MO kisa alinyimwa mkopo wa pikipiki, alipata wapi muda yeye?
Na hupenda kulialia kama mtoto wa kike!
 
#MKENDA MUST RESIGN!
#CAG MUST GO!
#JUSTICE4KEY-GWANGALLA!
Hayo ya Mkenda binafsi nadhani ni ya Samia kwa uelewa majungu ndio tabia zao huko CCM so watajua watakavyo wapatanisha.

Ila CAG kujiingiza kwenye siasa na report yake kukosa elements za Independence it’s very bad. Sasa sio lazima awe CAG mwenyewe kuna watu chini yake ndio wana andaa hizo report.
 
Napenda sana mjadala wa hoja

Ofisi ya CAG inatakiwa itoe ufafanuzi wa hoja hizi ili moambano uwe wa hoja badala ya vihoja

Vielelezo vya ufisadi wa Kigwangala viwekwe hadharan

Kigwangala nae atufafanulie chanzo cha ugomvi wake na Katibu Mkuu wake chanzo kilikuwa nini?…maana kwa taswira ya nje inaonekana ni mtu wa misimamo sana
 
“Kwa mazingira yalivyokuwa ninaamini aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili, Profesa Adolf Mkenda ndiye aliyeratibu mambo yote ya mimi kuchafuliwa,

“Nilimwambia Profesa Mkenda ni mvivu hakai ofisini, yuko bize na kampeni kwao Moshi, anataka kwenda kugombea.
Duh...!. Nimemsikia akiongea na kumtaja mtu kwa jina kwa kumtuhumu bila ushahidi!, ukihoji intellect ya baadhi ya viongozi wetu, unaweza kuonekana huna nidhamu!.

Kiukweli Kibajaji ambae ni darasa la Saba, ana afadhali sana!.
P
 
Duh...!. Nimemsikia akiongea na kumtaja mtu kwa jina kwa kumtuhumu bila ushahidi!, ukihoji intellect ya baadhi ya viongozi wetu, unaweza kuonekana huna nidhamu!.

Kiukweli Kibajaji ambae ni darasa la Saba, ana afadhali sana!.
P

Kachanganyikiwa kutokurudi kwenye baraza la mawaziri, hivi unafahamu january makamba, mwigulu na Bashe wanamuumiza sana kichwa na amedhihirisha uwezo wake wa kufikiri haoni watulivu wa akili kama Bashungwa kila teuzi wamo na wana weledi wa hali ya juu
 
Kazi ya kwanza kabisa ya kigwangala ilikuwa kumlia timing lazaro Nyalandu alipomkosa akaenda kuwapigisha pushup askari wa TANAPA bdae akaenda kuzurula na helicopter ya Tanapa bdae akafurushwa mwisho wa historia
 
Nukuu za Hamis Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini kuhusu ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

"Kwa kawaida katika taarifa za CAG huwa kuna hoja nyingi, hoja hizo zinapelekea kamati ya PAC kuzijadili na kuwasilisha taarifa zake bungeni. Katika taarifa zake CAG si kwamba alinigusa tu mimi kama Kigwangalla bali alinigusa kama Waziri wa Maliasili na Utalii.

"Taarifa ya CAG iligusia vitu vingi vidogo vidogo ambavyo CAG hakuvithibitisha na kupelekea kunichafua mimi binafsi kama Kigwangalla na kunisababishia maumivu binafsi mimi na wapendwa wangu pamoja na maumivu ya kisiasa jimboni kwangu.

"Kwa kuwa mimi ni mbunge mzoefu sikutaka kujibu maelezo aliyoyatoa CAG kwenye taarifa iliyoishia Juni 2020, hakuishia hapo hata mwaka jana pia alirudia maelezo yaleyale licha ya mimi kumpa CAG taarifa sahihi. Mimi nilinyamaza kwa kuwa naheshimu Taasisi ya CAG.

"Nimechafuliwa sana, nimeonewa sana na kwa muda mrefu nimeamua kunyamaza kwa ajili ya kuheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo. Umefika wakati wa mimi kusema, nitasema kwa sababu uongo ukirudiwa rudiwa sana bila kurekebishwa huaminiwa.

"Nimeamua kusema ili kusafisha taswira yangu katika jamii na miongoni mwa Wabunge na mashabiki wangu katika harakati za kisiasa. Kwanza, ninakanusha tuhuma zote zilizoandikwa kwenye ripoti ya CAG kuhusu mimi ni za uongo na hakuna hata moja ni ya kweli.

"Sijawahi kula rushwa wala fedha katika wizara ambayo nilikuwa naisimamia (Wizara ya Maliasili na Utalii), na kimsingi niliisimamia Wizara hiyo kwa uzalendo na kwa kutumia vipawa vyangu vyote.

"Nilikuta Wizara ya Maliasili na Utalii inapokea watalii takribani 940,000 na mimi nikafanikisha kuongeza idadi hadi kufikia watalii 1,600,000 kwa mwaka, na wizara ilikuwa inachangia pato la Taifa takribani trilioni 3 mimi nikaongeze hadi kufikia trilioni 6.5.

“Katika taarifa ya CAG inayoishia Juni 2020 CAG amesema katika Tamasha la Urithi shilingi bilioni 2.085 zilitumika nje ya bajeti, haya siyo maelezo sahihi, na bajeti ya Tamasha la Urithi ilitungwa tangu mwaka uliopita na kuwekwa katika kila Idara ya Wizara.

"Agosti 4, 2018 nilipata ajali na Tamasha lilikuwa linafanyika Septemba, 2018. Wakati wanaamua wawape Clouds Media matangazo, TBC kurusha live, sikuwepo ofisini, lakini bado CAG alikuwa anarudia kusema kuwa mimi ndiyo niliyeidhinisha taasisi hizo zipewe fedha.

“Kwa mazingira yalivyokuwa ninaamini aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili, Profesa Adolf Mkenda ndiye aliyeratibu mambo yote ya mimi kuchafuliwa, alikuwa akipeleka documents kwa Rais kila mara mpaka Rais Magufuli akaniita na kuniuliza mgogoro wetu.

“Nilimwambia Profesa Mkenda ni mvivu hakai ofisini, yuko bize na kampeni kwao Moshi, anataka kwenda kugombea. Ilifika hatua nikamuomba Rais anipumzishe kwa kuandika barua yenye kurasa tano ili Wizara iwe salama.

“Haikujibiwa, baadaye nikaandika barua nyingine ndipo tukaitwa na Katibu Mkuu Kiongozi kwenda kupatanishwa, tuhuma alizozitoa kwenye kikao hicho ndizo hizohizo zilizomo kwenye ripoti ya CAG."
Aisee hawa watu bado.bifu lao limaendelea?

Hayati si alishawapatanisha ? Au ndio alivyo ondoka na mapatano yao kaondoka nayo ? Au ni ya moyoni tu ya hamisi ?
 
Ndiyo lakini bado sioni mantiki ya mheshimiwa fulani kufanyiwa fitina kimahesabu. Ingekuwa kwa maneno ndiyo ningeelewa sana.
Alisimama na kulizungumzia hili bungeni Spika Tulia akamwambia ripoti ya CAG tunayo, yako hatujaipata. Na akamuongoza kuwa utaratibu ana ufahamu ni upi! Maadamu anaizungumza ndani ya Bunge ailete ripoti yake ijadiliwe na kupitiwa kwa kuangaliwa pia ripoti ya CAG ili yaweze kuthibitishwa madai yake.

Alichokifanya ni kuja kwenye umma na kudai kuwa ameonewa, ameshutumiwa. Anatafuta huruma kutoka kwa raia na kitu ambacho si sahihi na ni ashirio kuwa yaliyomo kwenye ripoti ya CAG ni ukweli mtupu. Akija kwetu kwa raia ni kutufanya tuamini maneno yake kwa sababu sisi hatuna njia madhubuti za kusahailisha kwa alichotuhumiwa.

Hicho pekee ni kiashiria tosha ya kuwa huyu mtu ni kanjanja.
 
Nukuu za Hamis Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini kuhusu ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

"Kwa kawaida katika taarifa za CAG huwa kuna hoja nyingi, hoja hizo zinapelekea kamati ya PAC kuzijadili na kuwasilisha taarifa zake bungeni. Katika taarifa zake CAG si kwamba alinigusa tu mimi kama Kigwangalla bali alinigusa kama Waziri wa Maliasili na Utalii.

"Taarifa ya CAG iligusia vitu vingi vidogo vidogo ambavyo CAG hakuvithibitisha na kupelekea kunichafua mimi binafsi kama Kigwangalla na kunisababishia maumivu binafsi mimi na wapendwa wangu pamoja na maumivu ya kisiasa jimboni kwangu.

"Kwa kuwa mimi ni mbunge mzoefu sikutaka kujibu maelezo aliyoyatoa CAG kwenye taarifa iliyoishia Juni 2020, hakuishia hapo hata mwaka jana pia alirudia maelezo yaleyale licha ya mimi kumpa CAG taarifa sahihi. Mimi nilinyamaza kwa kuwa naheshimu Taasisi ya CAG.

"Nimechafuliwa sana, nimeonewa sana na kwa muda mrefu nimeamua kunyamaza kwa ajili ya kuheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo. Umefika wakati wa mimi kusema, nitasema kwa sababu uongo ukirudiwa rudiwa sana bila kurekebishwa huaminiwa.

"Nimeamua kusema ili kusafisha taswira yangu katika jamii na miongoni mwa Wabunge na mashabiki wangu katika harakati za kisiasa. Kwanza, ninakanusha tuhuma zote zilizoandikwa kwenye ripoti ya CAG kuhusu mimi ni za uongo na hakuna hata moja ni ya kweli.

"Sijawahi kula rushwa wala fedha katika wizara ambayo nilikuwa naisimamia (Wizara ya Maliasili na Utalii), na kimsingi niliisimamia Wizara hiyo kwa uzalendo na kwa kutumia vipawa vyangu vyote.

"Nilikuta Wizara ya Maliasili na Utalii inapokea watalii takribani 940,000 na mimi nikafanikisha kuongeza idadi hadi kufikia watalii 1,600,000 kwa mwaka, na wizara ilikuwa inachangia pato la Taifa takribani trilioni 3 mimi nikaongeze hadi kufikia trilioni 6.5.

“Katika taarifa ya CAG inayoishia Juni 2020 CAG amesema katika Tamasha la Urithi shilingi bilioni 2.085 zilitumika nje ya bajeti, haya siyo maelezo sahihi, na bajeti ya Tamasha la Urithi ilitungwa tangu mwaka uliopita na kuwekwa katika kila Idara ya Wizara.

"Agosti 4, 2018 nilipata ajali na Tamasha lilikuwa linafanyika Septemba, 2018. Wakati wanaamua wawape Clouds Media matangazo, TBC kurusha live, sikuwepo ofisini, lakini bado CAG alikuwa anarudia kusema kuwa mimi ndiyo niliyeidhinisha taasisi hizo zipewe fedha.

“Kwa mazingira yalivyokuwa ninaamini aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili, Profesa Adolf Mkenda ndiye aliyeratibu mambo yote ya mimi kuchafuliwa, alikuwa akipeleka documents kwa Rais kila mara mpaka Rais Magufuli akaniita na kuniuliza mgogoro wetu.

“Nilimwambia Profesa Mkenda ni mvivu hakai ofisini, yuko bize na kampeni kwao Moshi, anataka kwenda kugombea. Ilifika hatua nikamuomba Rais anipumzishe kwa kuandika barua yenye kurasa tano ili Wizara iwe salama.

“Haikujibiwa, baadaye nikaandika barua nyingine ndipo tukaitwa na Katibu Mkuu Kiongozi kwenda kupatanishwa, tuhuma alizozitoa kwenye kikao hicho ndizo hizohizo zilizomo kwenye ripoti ya CAG."
Aache ukumbafu huyu.
 
Alipokuwa waziri na anakwiba mahela hakuwahi kuongea chochote , haya majamaa ni ya ajabu sana
Jamaa alikuwa anawabeba bongo muvi anawapeleka Marekani eti mabalozi wa utalii mademu watupu akina aunt Ezekiel.
 
Nukuu za Hamis Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini kuhusu ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

"Kwa kawaida katika taarifa za CAG huwa kuna hoja nyingi, hoja hizo zinapelekea kamati ya PAC kuzijadili na kuwasilisha taarifa zake bungeni. Katika taarifa zake CAG si kwamba alinigusa tu mimi kama Kigwangalla bali alinigusa kama Waziri wa Maliasili na Utalii.

"Taarifa ya CAG iligusia vitu vingi vidogo vidogo ambavyo CAG hakuvithibitisha na kupelekea kunichafua mimi binafsi kama Kigwangalla na kunisababishia maumivu binafsi mimi na wapendwa wangu pamoja na maumivu ya kisiasa jimboni kwangu.

"Kwa kuwa mimi ni mbunge mzoefu sikutaka kujibu maelezo aliyoyatoa CAG kwenye taarifa iliyoishia Juni 2020, hakuishia hapo hata mwaka jana pia alirudia maelezo yaleyale licha ya mimi kumpa CAG taarifa sahihi. Mimi nilinyamaza kwa kuwa naheshimu Taasisi ya CAG.

"Nimechafuliwa sana, nimeonewa sana na kwa muda mrefu nimeamua kunyamaza kwa ajili ya kuheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo. Umefika wakati wa mimi kusema, nitasema kwa sababu uongo ukirudiwa rudiwa sana bila kurekebishwa huaminiwa.

"Nimeamua kusema ili kusafisha taswira yangu katika jamii na miongoni mwa Wabunge na mashabiki wangu katika harakati za kisiasa. Kwanza, ninakanusha tuhuma zote zilizoandikwa kwenye ripoti ya CAG kuhusu mimi ni za uongo na hakuna hata moja ni ya kweli.

"Sijawahi kula rushwa wala fedha katika wizara ambayo nilikuwa naisimamia (Wizara ya Maliasili na Utalii), na kimsingi niliisimamia Wizara hiyo kwa uzalendo na kwa kutumia vipawa vyangu vyote.

"Nilikuta Wizara ya Maliasili na Utalii inapokea watalii takribani 940,000 na mimi nikafanikisha kuongeza idadi hadi kufikia watalii 1,600,000 kwa mwaka, na wizara ilikuwa inachangia pato la Taifa takribani trilioni 3 mimi nikaongeze hadi kufikia trilioni 6.5.

“Katika taarifa ya CAG inayoishia Juni 2020 CAG amesema katika Tamasha la Urithi shilingi bilioni 2.085 zilitumika nje ya bajeti, haya siyo maelezo sahihi, na bajeti ya Tamasha la Urithi ilitungwa tangu mwaka uliopita na kuwekwa katika kila Idara ya Wizara.

"Agosti 4, 2018 nilipata ajali na Tamasha lilikuwa linafanyika Septemba, 2018. Wakati wanaamua wawape Clouds Media matangazo, TBC kurusha live, sikuwepo ofisini, lakini bado CAG alikuwa anarudia kusema kuwa mimi ndiyo niliyeidhinisha taasisi hizo zipewe fedha.

“Kwa mazingira yalivyokuwa ninaamini aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili, Profesa Adolf Mkenda ndiye aliyeratibu mambo yote ya mimi kuchafuliwa, alikuwa akipeleka documents kwa Rais kila mara mpaka Rais Magufuli akaniita na kuniuliza mgogoro wetu.

“Nilimwambia Profesa Mkenda ni mvivu hakai ofisini, yuko bize na kampeni kwao Moshi, anataka kwenda kugombea. Ilifika hatua nikamuomba Rais anipumzishe kwa kuandika barua yenye kurasa tano ili Wizara iwe salama.

“Haikujibiwa, baadaye nikaandika barua nyingine ndipo tukaitwa na Katibu Mkuu Kiongozi kwenda kupatanishwa, tuhuma alizozitoa kwenye kikao hicho ndizo hizohizo zilizomo kwenye ripoti ya CAG."

Hivi Kigwangala ni nani nchi hii.
Huyu ni pimbi wa kisiasa tu.
Debe jiiingiii.....!
 
Nukuu za Hamis Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini kuhusu ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

"Kwa kawaida katika taarifa za CAG huwa kuna hoja nyingi, hoja hizo zinapelekea kamati ya PAC kuzijadili na kuwasilisha taarifa zake bungeni. Katika taarifa zake CAG si kwamba alinigusa tu mimi kama Kigwangalla bali alinigusa kama Waziri wa Maliasili na Utalii.

"Taarifa ya CAG iligusia vitu vingi vidogo vidogo ambavyo CAG hakuvithibitisha na kupelekea kunichafua mimi binafsi kama Kigwangalla na kunisababishia maumivu binafsi mimi na wapendwa wangu pamoja na maumivu ya kisiasa jimboni kwangu.

"Kwa kuwa mimi ni mbunge mzoefu sikutaka kujibu maelezo aliyoyatoa CAG kwenye taarifa iliyoishia Juni 2020, hakuishia hapo hata mwaka jana pia alirudia maelezo yaleyale licha ya mimi kumpa CAG taarifa sahihi. Mimi nilinyamaza kwa kuwa naheshimu Taasisi ya CAG.

"Nimechafuliwa sana, nimeonewa sana na kwa muda mrefu nimeamua kunyamaza kwa ajili ya kuheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo. Umefika wakati wa mimi kusema, nitasema kwa sababu uongo ukirudiwa rudiwa sana bila kurekebishwa huaminiwa.

"Nimeamua kusema ili kusafisha taswira yangu katika jamii na miongoni mwa Wabunge na mashabiki wangu katika harakati za kisiasa. Kwanza, ninakanusha tuhuma zote zilizoandikwa kwenye ripoti ya CAG kuhusu mimi ni za uongo na hakuna hata moja ni ya kweli.

"Sijawahi kula rushwa wala fedha katika wizara ambayo nilikuwa naisimamia (Wizara ya Maliasili na Utalii), na kimsingi niliisimamia Wizara hiyo kwa uzalendo na kwa kutumia vipawa vyangu vyote.

"Nilikuta Wizara ya Maliasili na Utalii inapokea watalii takribani 940,000 na mimi nikafanikisha kuongeza idadi hadi kufikia watalii 1,600,000 kwa mwaka, na wizara ilikuwa inachangia pato la Taifa takribani trilioni 3 mimi nikaongeze hadi kufikia trilioni 6.5.

“Katika taarifa ya CAG inayoishia Juni 2020 CAG amesema katika Tamasha la Urithi shilingi bilioni 2.085 zilitumika nje ya bajeti, haya siyo maelezo sahihi, na bajeti ya Tamasha la Urithi ilitungwa tangu mwaka uliopita na kuwekwa katika kila Idara ya Wizara.

"Agosti 4, 2018 nilipata ajali na Tamasha lilikuwa linafanyika Septemba, 2018. Wakati wanaamua wawape Clouds Media matangazo, TBC kurusha live, sikuwepo ofisini, lakini bado CAG alikuwa anarudia kusema kuwa mimi ndiyo niliyeidhinisha taasisi hizo zipewe fedha.

“Kwa mazingira yalivyokuwa ninaamini aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili, Profesa Adolf Mkenda ndiye aliyeratibu mambo yote ya mimi kuchafuliwa, alikuwa akipeleka documents kwa Rais kila mara mpaka Rais Magufuli akaniita na kuniuliza mgogoro wetu.

“Nilimwambia Profesa Mkenda ni mvivu hakai ofisini, yuko bize na kampeni kwao Moshi, anataka kwenda kugombea. Ilifika hatua nikamuomba Rais anipumzishe kwa kuandika barua yenye kurasa tano ili Wizara iwe salama.

“Haikujibiwa, baadaye nikaandika barua nyingine ndipo tukaitwa na Katibu Mkuu Kiongozi kwenda kupatanishwa, tuhuma alizozitoa kwenye kikao hicho ndizo hizohizo zilizomo kwenye ripoti ya CAG."
Hamisi
 
Nukuu za Hamis Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini kuhusu ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

"Kwa kawaida katika taarifa za CAG huwa kuna hoja nyingi, hoja hizo zinapelekea kamati ya PAC kuzijadili na kuwasilisha taarifa zake bungeni. Katika taarifa zake CAG si kwamba alinigusa tu mimi kama Kigwangalla bali alinigusa kama Waziri wa Maliasili na Utalii.

"Taarifa ya CAG iligusia vitu vingi vidogo vidogo ambavyo CAG hakuvithibitisha na kupelekea kunichafua mimi binafsi kama Kigwangalla na kunisababishia maumivu binafsi mimi na wapendwa wangu pamoja na maumivu ya kisiasa jimboni kwangu.

"Kwa kuwa mimi ni mbunge mzoefu sikutaka kujibu maelezo aliyoyatoa CAG kwenye taarifa iliyoishia Juni 2020, hakuishia hapo hata mwaka jana pia alirudia maelezo yaleyale licha ya mimi kumpa CAG taarifa sahihi. Mimi nilinyamaza kwa kuwa naheshimu Taasisi ya CAG.

"Nimechafuliwa sana, nimeonewa sana na kwa muda mrefu nimeamua kunyamaza kwa ajili ya kuheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo. Umefika wakati wa mimi kusema, nitasema kwa sababu uongo ukirudiwa rudiwa sana bila kurekebishwa huaminiwa.

"Nimeamua kusema ili kusafisha taswira yangu katika jamii na miongoni mwa Wabunge na mashabiki wangu katika harakati za kisiasa. Kwanza, ninakanusha tuhuma zote zilizoandikwa kwenye ripoti ya CAG kuhusu mimi ni za uongo na hakuna hata moja ni ya kweli.

"Sijawahi kula rushwa wala fedha katika wizara ambayo nilikuwa naisimamia (Wizara ya Maliasili na Utalii), na kimsingi niliisimamia Wizara hiyo kwa uzalendo na kwa kutumia vipawa vyangu vyote.

"Nilikuta Wizara ya Maliasili na Utalii inapokea watalii takribani 940,000 na mimi nikafanikisha kuongeza idadi hadi kufikia watalii 1,600,000 kwa mwaka, na wizara ilikuwa inachangia pato la Taifa takribani trilioni 3 mimi nikaongeze hadi kufikia trilioni 6.5.

“Katika taarifa ya CAG inayoishia Juni 2020 CAG amesema katika Tamasha la Urithi shilingi bilioni 2.085 zilitumika nje ya bajeti, haya siyo maelezo sahihi, na bajeti ya Tamasha la Urithi ilitungwa tangu mwaka uliopita na kuwekwa katika kila Idara ya Wizara.

"Agosti 4, 2018 nilipata ajali na Tamasha lilikuwa linafanyika Septemba, 2018. Wakati wanaamua wawape Clouds Media matangazo, TBC kurusha live, sikuwepo ofisini, lakini bado CAG alikuwa anarudia kusema kuwa mimi ndiyo niliyeidhinisha taasisi hizo zipewe fedha.

“Kwa mazingira yalivyokuwa ninaamini aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili, Profesa Adolf Mkenda ndiye aliyeratibu mambo yote ya mimi kuchafuliwa, alikuwa akipeleka documents kwa Rais kila mara mpaka Rais Magufuli akaniita na kuniuliza mgogoro wetu.

“Nilimwambia Profesa Mkenda ni mvivu hakai ofisini, yuko bize na kampeni kwao Moshi, anataka kwenda kugombea. Ilifika hatua nikamuomba Rais anipumzishe kwa kuandika barua yenye kurasa tano ili Wizara iwe salama.

“Haikujibiwa, baadaye nikaandika barua nyingine ndipo tukaitwa na Katibu Mkuu Kiongozi kwenda kupatanishwa, tuhuma alizozitoa kwenye kikao hicho ndizo hizohizo zilizomo kwenye ripoti ya CAG."
Mpumbavu wewe
 
Nukuu za Hamis Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini kuhusu ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

"Kwa kawaida katika taarifa za CAG huwa kuna hoja nyingi, hoja hizo zinapelekea kamati ya PAC kuzijadili na kuwasilisha taarifa zake bungeni. Katika taarifa zake CAG si kwamba alinigusa tu mimi kama Kigwangalla bali alinigusa kama Waziri wa Maliasili na Utalii.

"Taarifa ya CAG iligusia vitu vingi vidogo vidogo ambavyo CAG hakuvithibitisha na kupelekea kunichafua mimi binafsi kama Kigwangalla na kunisababishia maumivu binafsi mimi na wapendwa wangu pamoja na maumivu ya kisiasa jimboni kwangu.

"Kwa kuwa mimi ni mbunge mzoefu sikutaka kujibu maelezo aliyoyatoa CAG kwenye taarifa iliyoishia Juni 2020, hakuishia hapo hata mwaka jana pia alirudia maelezo yaleyale licha ya mimi kumpa CAG taarifa sahihi. Mimi nilinyamaza kwa kuwa naheshimu Taasisi ya CAG.

"Nimechafuliwa sana, nimeonewa sana na kwa muda mrefu nimeamua kunyamaza kwa ajili ya kuheshimu sheria, kanuni na taratibu zilizopo. Umefika wakati wa mimi kusema, nitasema kwa sababu uongo ukirudiwa rudiwa sana bila kurekebishwa huaminiwa.

"Nimeamua kusema ili kusafisha taswira yangu katika jamii na miongoni mwa Wabunge na mashabiki wangu katika harakati za kisiasa. Kwanza, ninakanusha tuhuma zote zilizoandikwa kwenye ripoti ya CAG kuhusu mimi ni za uongo na hakuna hata moja ni ya kweli.

"Sijawahi kula rushwa wala fedha katika wizara ambayo nilikuwa naisimamia (Wizara ya Maliasili na Utalii), na kimsingi niliisimamia Wizara hiyo kwa uzalendo na kwa kutumia vipawa vyangu vyote.

"Nilikuta Wizara ya Maliasili na Utalii inapokea watalii takribani 940,000 na mimi nikafanikisha kuongeza idadi hadi kufikia watalii 1,600,000 kwa mwaka, na wizara ilikuwa inachangia pato la Taifa takribani trilioni 3 mimi nikaongeze hadi kufikia trilioni 6.5.

“Katika taarifa ya CAG inayoishia Juni 2020 CAG amesema katika Tamasha la Urithi shilingi bilioni 2.085 zilitumika nje ya bajeti, haya siyo maelezo sahihi, na bajeti ya Tamasha la Urithi ilitungwa tangu mwaka uliopita na kuwekwa katika kila Idara ya Wizara.

"Agosti 4, 2018 nilipata ajali na Tamasha lilikuwa linafanyika Septemba, 2018. Wakati wanaamua wawape Clouds Media matangazo, TBC kurusha live, sikuwepo ofisini, lakini bado CAG alikuwa anarudia kusema kuwa mimi ndiyo niliyeidhinisha taasisi hizo zipewe fedha.

“Kwa mazingira yalivyokuwa ninaamini aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili, Profesa Adolf Mkenda ndiye aliyeratibu mambo yote ya mimi kuchafuliwa, alikuwa akipeleka documents kwa Rais kila mara mpaka Rais Magufuli akaniita na kuniuliza mgogoro wetu.

“Nilimwambia Profesa Mkenda ni mvivu hakai ofisini, yuko bize na kampeni kwao Moshi, anataka kwenda kugombea. Ilifika hatua nikamuomba Rais anipumzishe kwa kuandika barua yenye kurasa tano ili Wizara iwe salama.

“Haikujibiwa, baadaye nikaandika barua nyingine ndipo tukaitwa na Katibu Mkuu Kiongozi kwenda kupatanishwa, tuhuma alizozitoa kwenye kikao hicho ndizo hizohizo zilizomo kwenye ripoti ya CAG."
Hamisi, hizi vita zote ni kwako
Ya Mo dewji
Ya profesa
Ya CAG!
 
Back
Top Bottom