Hivi huyu kiumbe hana faili Mirembe kweli!!!, 7ya na genge lake walianza na kauli za kijigakijinga kama huyu mwisho wa siku yaliyotokea ndiyo hayo!!!Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni
Hajawahi kuwa na akili hata siku moja ni mtu wa kuhurumiwa tu nadhani laana ya kumkana baba yake inamtafunaInaitwa nitoke vp?
Njia ya kukumbukwa
Mbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.
Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.
View attachment 1818634
Baadae atakuja kuuliza alikosea wapi.Kigwangala hii ni nin?
Lazima ulazimishe uteuzi??
Aibu sana
Umesoma vizuri bado unajihitaji kulamba miguu ya mtu fulani ili maisha yaende.Mbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.
Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.
View attachment 1818634
Hivi hii nchi tunaenda wapi mambo ya msingi hayazungumziwi kabisa et mama anacheza mpira mwingi jamani naombeni mnaojuwa tafasili ya neno kigwangala ina maana gani wanyamwez msione aibu kutusaidia maana nikijana wenu wenyewe,Mbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.
Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.
View attachment 1818634