Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,955
- 55,050
Sana sana hakujua kwamba watu waliokuwa wanamsifia wanataka wajaze tu matumbo yaoAliharibu sn nchi
Sana sana hakujua kwamba watu waliokuwa wanamsifia wanataka wajaze tu matumbo yaoAliharibu sn nchi
PamojaSana sana
Siku nikisukumiziwa kwenye uraisi hivi viumbe jamii ya kigwangala nitavianzishia mahakama ya unafiki na nitajenga ZOO (si jela) kubwa ya kuwaweka wakishahukumiwa maana unafiki wao ni kero kwa maendeleo ya binadamu😁😁😁😁😁Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo.
Kigwangwalla amesema wataalamu wa Afya wanajukumu la kumshauri Rais Samia na yeye kama mbunge watalizungumza bungeni ili kuanza kufuata njia za kisayansi.
Amesema si sawa kwa taasisi kubwa kama muhimbili kuwa na mashine za kupiga nyungu, ni muhimu watu kufuata hatua a afya kama kuvaa barakoa nk.
===
Tena alihakikisha mwendazake amepata habari kuwa ameingia kujivukiza.Huyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?
Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!
Anaongea kama mtaalamu au mwanasiasa? Kama ni utalaamu na yeye kama mwana taaluma husika kwanini hakuyasema siku zote?!Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo.
Kigwangwalla amesema wataalamu wa Afya wanajukumu la kumshauri Rais Samia na yeye kama mbunge watalizungumza bungeni ili kuanza kufuata njia za kisayansi.
Amesema si sawa kwa taasisi kubwa kama muhimbili kuwa na mashine za kupiga nyungu, ni muhimu watu kufuata hatua a afya kama kuvaa barakoa nk.
===
sahiz hata shobo na vyombo vya habari hana. lile tukio limekata ngebe zote.Namuonea huruma Waziri Dorothy sijui ataficha wapi sura yake.
Na sijui amepotelea wapi,amejivua nguosahiz hata shobo na vyombo vya habari hana. lile tukio limekata ngebe zote.
hana hamu.
Magu alizungukwa na wanafki. na akawachekea sana.Dah Magu amka uone waganga njaa hawa walivyo wanafiki. Huu unafiki wa kiwango cha juu sana sana.
Hivi Magu angekuwa hai ungethubutu hata kuacha mdomo wako wazi?
Hawa ndio viongozi wanaongoza watanzania.
Hivi mnajua hayo manyungu na unafiki wenu umeuza watu wangapi hadi sasa?
He is dead now, he has nothing to lose.Magu alizungukwa na wanafki. na akawachekea sana.
wakimsifia kwa maneno matamu akawachagua.
haya ni matunda yake mwenyewe
Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo.
Kigwangwalla amesema wataalamu wa Afya wanajukumu la kumshauri Rais Samia na yeye kama mbunge watalizungumza bungeni ili kuanza kufuata njia za kisayansi.
Amesema si sawa kwa taasisi kubwa kama muhimbili kuwa na mashine za kupiga nyungu, ni muhimu watu kufuata hatua a afya kama kuvaa barakoa nk.
===