FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,022
- 2,591
Hawafai mimi hapo mbeya tulimaliza mwaka mpaka tulipopata connection ndio tukaja kuunganishwa.Yaani mkuu unaweza hata kuwachapa ngumi kwa hasira. Hawapo kibiashara kabisa
Hawafai mimi hapo mbeya tulimaliza mwaka mpaka tulipopata connection ndio tukaja kuunganishwa.Yaani mkuu unaweza hata kuwachapa ngumi kwa hasira. Hawapo kibiashara kabisa
Dr kalemani,tunamuomba utusaidie kumsisitiza mkurugenzi mkuu wa tanesco ,muhimize apitishe na kuidhinisha miradi ya umeme iliyopo mezani kwake ya mikoa ya Kanda ya ziwa. Kwa kifupi anafanya makusudi na wananchi wapiga kura wetu wanalia yeye anaendelea kuchekelea.Wananchi wamesisitiza kuwa maeneo yasiyo na nishati ya umeme hawatapiga Kura October 28,hivyo inatuwia kazi ngumu kufanya kampeni za chama tawala kwani wananchi walisha haidiwa kupata umeme na Mh Rais tangu mwaka 2018.Habari wanajamvi,
Kiukweli kuunganishiwa umeme kwa jiji la Mbeya, imekuwa kama ni hisani. Nimelipia nguzo ili niunganishiwe umeme laki 567,000 tokea mwezi wa pili lakini hadi leo sijapata huduma ya kuunganishiwa umeme.
Nimefuatilia ofisini kwa mara kwa mara wanasema tutakuja tutakuja lakini hamna kinachofanyika. Kwa maelezo yao kwa mteja wa nguzo baada ya kulipia inabidi akae miezi miwili ili aunganishiwe huduma lakini mpaka sasa ni takribani miezi sita hakuna huduma.
Cha kushangaza zaidi jirani yangu ameomba kuunganishiwa umeme mwezi wa nne lakini ameunganishiwa mapema kabla ya niliyeomba huduma hii mwezi wa pili. Kumuuliza anasema jiongeze ndo utapata umeme lasivyo utasubiri sana.
Sasa najiuliza hivi Tanesco wapo serious kweli na hii biashara? Zaidi ya miezi hii sita ningekua nimenunua umeme wa shilingi ngapi? Kiukweli inauma sana. Leo nimemkuta mzee mmoja analia yeye alilipia tokea mwezi wa kwanza na ndipo nilipochoka zaidi.
SIDHANI KWA MWENDO HUU, KAMA KAULI MBIU YA " TANESCO TUNAANGAZA MAISHA YAKO" Kama ina maana.
Nawasilisha.
Je umelipia kwa jina gani? Namba ya simu tafadhali.Tunaomba tufatilie swala lako
Ndugu mpendwa mteja wetu taarifa yako inapaswa kuonyesha kijiji gani unalalamikia namba yako ya simu tafadhaliMwenyekiti wa bodi ya Tanesco na waziri wa nishati ninaomba kukujulisha kuwa mkurugenzi waTanesco Tanzania ana matatizo kwenye utendaji wake especially kupitishwa miradi ya umeme mikoani.unakuta mameneja wa Tanesco mikoani wametuma bajeti za miradi mipya ya kusambaa umeme mikoani kwa wateja, mkurugenzi mkuu wa tanesco anakalia miradi hiyo kwa zaidi ya mwaka mzima bila utekelezaji kuipitisha ifanyike au kutuma fedha ili miradi ufanyike.
Hili tatizo limeendelea kuwa kubwa sana haswa kwa mikoa ya Kanda ya ziwa ambsjo maeneo mengi hayajawahi kupata nishati ya umeme tangu nchi ipate uhuru.ombi tunamuomba mkurugenzi mkuu wa tanesco apitishe miradi iliyotumwa kwake na meneja wa Tanesco mikoa na ipo mezani kwake ili utekelezaji wa miradi hiyo uweze kufanyika kwa wakati.
Tunatarajia atasikia kilio hiki ili siku ya kupiga Kura October 28,wananchi wasipigie kura gizani kwani Mh Rais Alisha toa ahadi ya kila mtanzania kupata nishati ya umeme.
Mambo ni hivyohivyo hata Wilaya ya Kibamba, Dar es Salaam. Sema Mhe. Kalemani nae hapokei simu yake kwa namba aliyoweka kwenye tovuti ya Bunge, ukipiga inaita weee na kukata yenyewe. Ila TANESCO wanahimiza sana rushwa, maana utakaza wee ila mwisho wa siku utatoa tu hela uletewe umemeHabari wanajamvi,
Kiukweli kuunganishiwa umeme kwa jiji la Mbeya, imekuwa kama ni hisani. Nimelipia nguzo ili niunganishiwe umeme laki 567,000 tokea mwezi wa pili lakini hadi leo sijapata huduma ya kuunganishiwa umeme.
Nimefuatilia ofisini kwa mara kwa mara wanasema tutakuja tutakuja lakini hamna kinachofanyika. Kwa maelezo yao kwa mteja wa nguzo baada ya kulipia inabidi akae miezi miwili ili aunganishiwe huduma lakini mpaka sasa ni takribani miezi sita hakuna huduma.
Cha kushangaza zaidi jirani yangu ameomba kuunganishiwa umeme mwezi wa nne lakini ameunganishiwa mapema kabla ya niliyeomba huduma hii mwezi wa pili. Kumuuliza anasema jiongeze ndo utapata umeme lasivyo utasubiri sana.
Sasa najiuliza hivi Tanesco wapo serious kweli na hii biashara? Zaidi ya miezi hii sita ningekua nimenunua umeme wa shilingi ngapi? Kiukweli inauma sana. Leo nimemkuta mzee mmoja analia yeye alilipia tokea mwezi wa kwanza na ndipo nilipochoka zaidi.
SIDHANI KWA MWENDO HUU, KAMA KAULI MBIU YA " TANESCO TUNAANGAZA MAISHA YAKO" Kama ina maana.
Nawasilisha.
Pole sana mpendwa mteja wetu tafadhali tusaidie mwa siri kuwa na nani alipokea rushwa namba yako ya simu kwa hatua zaidiTANESCO rushwa imekuwa kama kawaida.
Nimejaza fomu naambiwa nimlipe surveyer aje chap. Nikatoa RUSHWA (JAPO NAJUA NI KOSA)
siku hiyo hiyo akaja.
Baada ya siku 10hv nimeitwa kulipia gharama za kuunganishiwa. Nako wameomba RUSHWA kwa kuwa fomu imepitia shot cut.
Hapa nasubiri kuletewa mita nione wataomba tena ngapi.
Na wote waliounganishwa WAMETOA RUSHWA LAA SIVYO UNAKAA MPAKA BASI
Tatizo gani mkuu onyesha namba yako ya simu kwa hatua zaidiMambo ni hivyohivyo hata Wilaya ya Kibamba, Dar es Salaam. Sema Mhe. Kalemani nae hapokei simu yake kwa namba aliyoweka kwenye tovuti ya Bunge, ukipiga inaita weee na kukata yenyewe. Ila TANESCO wanahimiza sana rushwa, maana utakaza wee ila mwisho wa siku utatoa tu hela uletewe umeme
Unataka namba yake ya simu ya nini? Bila namba yake ya simu hamuwezi kumsaidia?Pole sana mpendwa mteja wetu tafadhali tusaidie mwa siri kuwa na nani alipokea rushwa namba yako ya simu kwa hatua zaidi
Tafadhali tambua lengo la kutoa taarifa au malalamiko ni kuhudumiwa au kusikilizwa ndio maana shirika lako limetoa nafasi ya kumsikiliza mteja wetuUnataka namba yake ya simu ya nini? Au mnataka kumteka?
yaani TANESCO mnajifaraguza hapa ebooPole sana mpendwa mteja wetu tafadhali tusaidie mwa siri kuwa na nani alipokea rushwa namba yako ya simu kwa hatua zaidi
Pole sana mpendwa mteja wetu tafadhali tusaidie mwa siri kuwa na nani alipokea rushwa namba yako ya simu kwa hatua zaidi
Tafadhali onyesha ushirikiano wa nani umempa rushwa? Au peleka TAKUKURU unapotoa malalamiko bila taarifa kamili maana yake haupo tayari kumaliza tatizo hilo ulilodai kuwepoIfike sehemu mtambue ya kwamba hii ni biashara kama biashara zingine mtu anapolipia anatakiwa afanyiwe huduma fasta lakini mnapoleta maswala sijui ya siku 90 mara siku 60 wakati mtu kashalipia inakuwa haipendezi.
Ifahamike kuwa huduma yenu ni mbovu sana kwa wananchi na tena kwa hao wafanyakazi wenu wanaweka rushwa mbele sana kuliko kufanya huduma uliyowapeleka hapo ofisini, haiwezekani mtu kalipia tokea mwezi wa kwanza lakini hadi leo unazungushwa tu.
Basi kama ni hivyo mnatakiwa muwaweke wazi wananchi kwamba kuleta survey ni bei kadhaaa, kuja kufungiwa umeme ni bei kadhaa ili muweze kuondoa hii sitofahamu kati ya wananchi na wafanyakazi wenu.
Hizi tabia za mtu ameshalipia harafu anasubiri miezi miwili mara mitano inakera sana.
Tunawasihi wateja wetu kujenga utaratibu wa kutoa taarifa kamili unapolalamika kwa taarifa isiyokamili unakuwa haujatusaidia kukuhudumia vema.unaweza kutupatia hapa au kupeleka TAKUKURU vinginevyo inakuwa ngumu sisi kuchukua hatuayaani TANESCO mnajifaraguza hapa eboo
Fanyieni kazi hayo matatizo sio kusema eti tupe namba yako ki siri siri
Tafadhali onyesha ushirikiano wa nani umempa rushwa? Au peleka TAKUKURU unapotoa malalamiko bila taarifa kamili maana yake haupo tayari kumaliza tatizo hilo ulilodai kuwepo
Dr kalemani,tunamuomba utusaidie kumsisitiza mkurugenzi mkuu wa tanesco ,muhimize apitishe na kuidhinisha miradi ya umeme iliyopo mezani kwake ya mikoa ya Kanda ya ziwa. Kwa kifupi anafanya makusudi na wananchi wapiga kura wetu wanalia yeye anaendelea kuchekelea.Wananchi wamesisitiza kuwa maeneo yasiyo na nishati ya umeme hawatapiga Kura October 28,hivyo inatuwia kazi ngumu kufanya kampeni za chama tawala kwani wananchi walisha haidiwa kupata umeme na Mh Rais tangu mwaka 2018.Ndugu mpendwa mteja wetu taarifa yako inapaswa kuonyesha kijiji gani unalalamikia namba yako ya simu tafadhali
Nimetuma namba ya simu DM mkuu. Tatizo ni kuunganishiwa umeme ambao nimelipiaTatizo gani mkuu onyesha namba yako ya simu kwa hatua zaidi
Mikoa ya Kanda ya ziwa huijui? Mkurugenzi mkuu wa tanesco analijua miradi ambayoinatakiwa ipitishwe na hajaipitisha .una Tabia ya kudai namba za simu kila unapokutana na malalamiko yanayohusu Tanesco. Namba yangu hii hapa 0754-562366Ndugu mpendwa mteja wetu taarifa yako inapaswa kuonyesha kijiji gani unalalamikia namba yako ya simu tafadhali
Ahsante sana tutawasiliana na wewe kujua ni mradi gani unaodaiMikoa ya Kanda ya ziwa huijui? Mkurugenzi mkuu wa tanesco analijua miradi ambayoinatakiwa ipitishwe na hajaipitisha .una Tabia ya kudai namba za simu kila unapokutana na malalamiko yanayohusu Tanesco. Namba yangu hii hapa 0754-562366