The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,383
- 12,969
Si huyu huyu alikuwa anazidharau hizo PhD... Sasa inakuwaje leo anazipapatikia, tena za kununua."PhD ya Siasa na Uongozi ni Shahada kubwa sana kimataifa, kwa kuwa Taifa lolote linaongozwa na siasa pamoja na uongozi. Mimi kwa sasa naweza kuitwa Marekani, Liberia, India kama kuna mgogoro na kwenda kusuluhisha, hizi PhD ni chache sana duniani" Dkt.Joseph Msukuma
https://t.co/qxUmXsmHfu
View attachment 2034836