Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,385
- 1,251
Dkt. John Pombe Magufuli, ni mwamba imara - umefanya mengi mazuri i.e utawala bora, uwajibikaji, miundombinu nk
Pamoja na hayo nashauri uangazie sana matumizi ya fedha unazotoa kwa ajili ya mfuko wa self help schemes or political vote. Kwa wasiozifahamu ni kuwa Serikali hutoa:-
(a). Fedha za maendeleo ya Jimbo kwa majimbo yote nchini - matumizi ya fedha hizi bado hayako wazi sana na ukaguzi wa matumizi yake hauna standard moja;
(b). Fedha za self help scheme tshs 20,000,000/=. Hizi hutolewa kila mwaka kwa kila Mkuu wa mkoa ili zichangie shughuli mbalimbali zilizoanzishwa na wananchi. Kama ikiwezekana fedha hizi zitolewe kwa maRC watakaozisimamia na kuzitumia vizuri. Wenye makandokando ya matumizi wanyimwe.
(c). Fedha tshs 5,000,000/= kwa kila DC kila mwaka. Hizi zinaonekana ndogo lkn kwa kuwa ni fedha za umma basi matumizi yake yamlikwe ili zifanye kazi tegemewa.
Sisemi kwamba zimetumika vibaya lkn kama tabia za binadamu zinsvyobadilika ni yumkini baadhi yao wakizitumia kununua maandazi, kulipa ada za watoto wao, kufanya matengenezo ya magari ya familia nk nk
Watanzania, hasa wanaccm wanakuunga mkono jitihada zako za kuliongoza taifa na kwa maamuzi magumu ufanyayo Mungu azidi kusimamia na kukuongoza.
Salaam za mwaka mpya wa 2021 mwema kwako na wasaidizi wako.
Mungu ibariki Tanzania!
Pamoja na hayo nashauri uangazie sana matumizi ya fedha unazotoa kwa ajili ya mfuko wa self help schemes or political vote. Kwa wasiozifahamu ni kuwa Serikali hutoa:-
(a). Fedha za maendeleo ya Jimbo kwa majimbo yote nchini - matumizi ya fedha hizi bado hayako wazi sana na ukaguzi wa matumizi yake hauna standard moja;
(b). Fedha za self help scheme tshs 20,000,000/=. Hizi hutolewa kila mwaka kwa kila Mkuu wa mkoa ili zichangie shughuli mbalimbali zilizoanzishwa na wananchi. Kama ikiwezekana fedha hizi zitolewe kwa maRC watakaozisimamia na kuzitumia vizuri. Wenye makandokando ya matumizi wanyimwe.
(c). Fedha tshs 5,000,000/= kwa kila DC kila mwaka. Hizi zinaonekana ndogo lkn kwa kuwa ni fedha za umma basi matumizi yake yamlikwe ili zifanye kazi tegemewa.
Sisemi kwamba zimetumika vibaya lkn kama tabia za binadamu zinsvyobadilika ni yumkini baadhi yao wakizitumia kununua maandazi, kulipa ada za watoto wao, kufanya matengenezo ya magari ya familia nk nk
Watanzania, hasa wanaccm wanakuunga mkono jitihada zako za kuliongoza taifa na kwa maamuzi magumu ufanyayo Mungu azidi kusimamia na kukuongoza.
Salaam za mwaka mpya wa 2021 mwema kwako na wasaidizi wako.
Mungu ibariki Tanzania!