The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,345
- 4,608
Wafu wazike wafu wao..
Demokrasia gharama,hatimaye Meru wanapata uwakilishi baada ya kutapeliwa kwa miaka takribani 6
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela za uchaguzi zipo ila za kulipa madai ya watumishi wa umma hakuna!
Ila dogo janja amegawa jimbo kirahisi sana
Ndo hivyo,pesa ya kununua condom na kulipia guest room ipo ila pesa ya kumpa akanunue chakula na Makazi hakuudumie vizuri hakuna. Ndio utaratibu 🙏Hela za uchaguzi zipo ila za kulipa madai ya watumishi wa umma hakuna!
Ndo gharama za demokrasia hizoHela za uchaguzi zipo ila za kulipa madai ya watumishi wa umma hakuna!
Itakuwa taaluma za ajabu ajabu kama yule wa SihaHuyo mshindi ni daktari ktk taaluma ipi?
Ndio,
Hivi yule wa siha ni wa nini vileItakuwa taaluma za ajabu ajabu kama yule wa Siha
Huwa inakuwaga hivyohivyo hadi final. Yaani numba hutajwa tu alimuradi wameshinda.
uchaguzi au uteuzi jamani