johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,797
- Thread starter
- #41
Chadema igeni mfano siyo kutuletea mambo ya kubadili gia angani!Hapa tunapata picha ya namna ndani ya ccm demokrasia ilivyo shamili
Chadema igeni mfano siyo kutuletea mambo ya kubadili gia angani!Hapa tunapata picha ya namna ndani ya ccm demokrasia ilivyo shamili
Mkiweza pia, Sasa kwanini mmeamua kuchapa from moja? Ccm hakuna wenye uwezo kumzidi huyo magu?
Kuna kila dalili hata NEC fomu zake wakishapokea za CCM basi ofisi inafungwa na kila anayerudisha fomu mkurugenzi wa NEC hatakuwepo ofisini
CCM ni chama kikubwa bwashee!Nasikia kuna kama watia nia 15
Wengine lini?
Kwani chadema kulikua hakuna wa kumzidi mbowe kuwa mwenyekitiMkiweza pia, Sasa kwanini mmeamua kuchapa from moja? Ccm hakuna wenye uwezo kumzidi huyo magu?
Na wewe kula kungumanga
Kuna kila dalili hata NEC fomu zake wakishapokea za CCM basi ofisi inafungwa na kila anayerudisha fomu mkurugenzi wa NEC hatakuwepo ofisini
CCM ni chama kikubwa bwashee!
Ukurasa wa wavuti haupatikaniNataka kusema hivi WB imeitaja TZ kuwa lower middle income nation sawa na KENYA kwa Sasa...
Mpaka JPM atakapoondoka tutakuwa UPPER MIDDLE INCOME zaidi ya Kenya aaamin,
Nakwambieje,hebu fikiria mh.Lowassa angeshinda URAIS,
TUNGEKUWA HAPA KWA WB?
Mazingaombwe alitufundisha mbowe pale alipomtukana LOWASSA kuwa ni fisadi...halafu akamuona ASSET ya kumsafisha agombee URAIS huku AKIBADILISHA GIA ANGANI....Chama Cha Mazingaombwe
Kazi ya uenyekiti mbowe ni ngumu lakini bado TUNAMUAMINI kwa ule uwezo wake akae tu miaka 30 ijayo!!Mbona mara kadhaa amelalamika hadharani kuwa kazi ya urais ni ngumu kama ingewezekana akae miaka miwili angeondoka sasa imekuwaje tena anarudia kutaka kazi ngumu anayo ilalamikia mara kwa mara?
chadema kuna nini? 2015 walifanya nn?hata sasa wataenda kufanya yale yale ya 2015Mbona hakuna demokrasia huko? Meshindwa kuiga hata Chadema tu?