Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,862
- 3,190
Mh. Rais Mstaafu Dr Jakaya kikwete kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Global Partnership for Education ni mafanikio makubwa kwa sekta ya elimu ya Tanzania.
Global Partnership for Education ni moja ya taasisi kubwa inayofadhiri miradi ya elimu duniani.
Nchi yetu imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali za kuhakikisha sekta ya elimu inaimarika.
Kama hivi sasa Mh. Rais Samia amepambana kuhakikisha kila jimbo linapata fedha za ujenzi wa shule ili kila mtoto wa Tanzania apate elimu bora.
Sasa ni wakati wa wataalamu wa wizara kutazama fursa za kupata misaada kutoka shirika hili kubwa.
Napenda kutoa rai kwa wizara ya elimu na wadau wa elimu wasibweteke, huu ni wakati wa kutumia ushawishi wa Mh. Dr. Jakaya Kikwete kupata misaada mahususi na kuhakikisha sekta ya elimua inakuwa.
Ushauri wa Maeneo yanayotakiwa kuangaliwa ni pamoja na
1. Kuboresha miundombinu ya elimu mkianza na shule za muda mrefu na shule zenye wanafunzi wengi kupita uwezo wao.
2. Kuangalia namna gani mtasaidia vijana wenye taaluma ya ualimu kuajiriwa katika mfumo wa kudumu au wa muda mfupi.
3. kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kujifunzia hasa kuelekea elimu kidigitali ili kujenga vijana wenye ushawishi.
4. Kujengea uwezo wataalamu wa elimu
Jengeeni uwezo wataalamu wenu ili waweze kutafuta fursa za kidunia kuinua elimu.
Tumshukuru Mungu kwa kumuweka hai Mh. Rais Mstaafu Dr. Jakaya Kikwete.
Kumbukeni msipochangamkia fursa hizo, nchi nyingine zitaomba na hatimaye fedha zitaenda kwao hasa kenya na uganda.
Tunahitaji kuchangamkia fursa.
RAIS SAMIA
#KAZI IENDELEE
Global Partnership for Education ni moja ya taasisi kubwa inayofadhiri miradi ya elimu duniani.
Nchi yetu imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali za kuhakikisha sekta ya elimu inaimarika.
Kama hivi sasa Mh. Rais Samia amepambana kuhakikisha kila jimbo linapata fedha za ujenzi wa shule ili kila mtoto wa Tanzania apate elimu bora.
Sasa ni wakati wa wataalamu wa wizara kutazama fursa za kupata misaada kutoka shirika hili kubwa.
Napenda kutoa rai kwa wizara ya elimu na wadau wa elimu wasibweteke, huu ni wakati wa kutumia ushawishi wa Mh. Dr. Jakaya Kikwete kupata misaada mahususi na kuhakikisha sekta ya elimua inakuwa.
Ushauri wa Maeneo yanayotakiwa kuangaliwa ni pamoja na
1. Kuboresha miundombinu ya elimu mkianza na shule za muda mrefu na shule zenye wanafunzi wengi kupita uwezo wao.
2. Kuangalia namna gani mtasaidia vijana wenye taaluma ya ualimu kuajiriwa katika mfumo wa kudumu au wa muda mfupi.
3. kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kujifunzia hasa kuelekea elimu kidigitali ili kujenga vijana wenye ushawishi.
4. Kujengea uwezo wataalamu wa elimu
Jengeeni uwezo wataalamu wenu ili waweze kutafuta fursa za kidunia kuinua elimu.
Tumshukuru Mungu kwa kumuweka hai Mh. Rais Mstaafu Dr. Jakaya Kikwete.
Kumbukeni msipochangamkia fursa hizo, nchi nyingine zitaomba na hatimaye fedha zitaenda kwao hasa kenya na uganda.
Tunahitaji kuchangamkia fursa.
RAIS SAMIA
#KAZI IENDELEE