rutegeramisi gwategera
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 446
- 493
Namsifu sana huyu waziri asiyependa majivuno, hana vijembe hakika huyu ndiye anastahili kupewa wadhifa mkubwa na kutupeleka inchi ya maziwa na Asali.
Tatizo ni chama kilichomlea na wastaafu wanaomzunguka. Ila naamini 2025 watampa kupeperusha bendera anafaa.
Ni dhahiri sasa Dr. Hussein Mwinyi ndiye Rais wa Zanzibar mtarajiwa
Yametimia Hussein Mwinyi ndiye Rais wa Zanzibar anasubiri kuapishwa tu hakuna namna
Mungu mbariki kijana huyu
Tatizo ni chama kilichomlea na wastaafu wanaomzunguka. Ila naamini 2025 watampa kupeperusha bendera anafaa.
Ni dhahiri sasa Dr. Hussein Mwinyi ndiye Rais wa Zanzibar mtarajiwa
Yametimia Hussein Mwinyi ndiye Rais wa Zanzibar anasubiri kuapishwa tu hakuna namna
Mungu mbariki kijana huyu